kyakakombo
Member
- Jun 7, 2013
- 41
- 36
Habari wakuu? Simu yangu inavirus wengi nataka kuifanyia factory reset Ila nakumbuka Mara ya mwisho ililetea option ya kutumia WiFi ndoinakubali mpk nikataguta kwenye WiFi ndo nikafanikiwa .Kwa sasa nipo mbali na huduma ya WiFi je nawezaje kukamilisha zoezi bila WiFi.
Ntashukuru
Sent from my TECNO-C9 using Tapatalk
Ntashukuru
Sent from my TECNO-C9 using Tapatalk