Naweza kukopa pesa kwa kutumia fixed account?

kangesa

JF-Expert Member
Jul 3, 2023
551
1,048
Habari za muda huu wakuu, nende moja kwa moja kwenye maelezo mafupi juu ya swai langu.

Kwanza kwenye account yangu ya NMB kuna kama mil.3.5 hivi ambayo ipo kweny fixed accont. Sasa wiki iliyopita nilitaka kuitoa kwasababu muda wake wa kukaa kwenye hiyo account umeisha.

Kuna rafiki yangu akanishauri niiache hiyo pesa iendelee kukaa kweny hiyo account halafu niombe mkopo kwa kutumia hiyohiyo pesa kama dhamana.

Swali langu kabla sijaenda bank kuongezea muda wa account yangu na kuomba mkopo je, huwa inakubaliwa pesa niliyonayo bank iwe kama dhamana?
 
Habari za muda huu wakuu, nende moja kwa moja kwenye maelezo mafupi juu ya swai langu.

Kwanza kwenye account yangu ya NMB kuna kama mil.3.5 hivi ambayo ipo kweny fixed accont. Sasa wiki iliyopita nilitaka kuitoa kwasababu muda wake wa kukaa kwenye hiyo account umeisha.

Kuna rafiki yangu akanishauri niiache hiyo pesa iendelee kukaa kweny hiyo account halafu niombe mkopo kwa kutumia hiyohiyo pesa kama dhamana.

Swali langu kabla sijaenda bank kuongezea muda wa account yangu na kuomba mkopo je, huwa inakubaliwa pesa niliyonayo bank iwe kama dhamana?
Habari Kiongozi!
Ndio unaweza kuchukua mpaka 80% ya kiasi chako kilichopo kwenye FDR.Mfano una Tshs.1,000,000/= tafuta 80% yake utapata Tshs.800,000/=.Wakati huo huo ile Tshs.1,000,000/= itaendelea kubakia bank.
 
Assume wanakukopesha mil 3 ! Na ww una mil 3.5 , si bora uchkue hela yako ukafanye unachotaka kufanya
Mkuu nadhani anachokusudia jamaa ni security ya hela. Ukiichukua kama ilivyo ukaenda kufanyia biashara halafu ikafa hela yako inakua imeenda. Ila ukiwekeza halafu ukaiombea mkopo means hata ikifa ile return yake italipa atleast anapata chochote kitu kuliko kukosa kabisa.
 
Back
Top Bottom