Naweza kupata wapi Kasuku wa kufuga?

Naweza kupata wapi Kasuku wa kufuga?

kluger

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2016
Posts
2,093
Reaction score
1,905
Salaam,

Nawapenda Sana Kasuku, na nahitaji kufuga wawili hapa kwangu. Je hawa ndege ni nyara za serikali? Kama ni ruhksa naweza pata wapi? Bei zake tafathali!

Ahsanteni.
 
Zipo ikulu, kama unaitaji sema ntakuletea kimagendo
 
Kuna likasuku limoja linaropoka ropoka tu Mara litapiga , Mara litafanya nini sijui, linauzwa pale aves shop
 
kama unataka kwenda kuwa free labour wa serikali huko magereza kama jiwe alivyoagiza..we jaribu tu kufuga hiyo kitu
 
Back
Top Bottom