Nakala ninayo. Hoja zilizopo zinaeleweka. Sema kwa maelezo ya Hakimu, Wakili wa upande wa pili ataandaa maelezo nami ndio natakiwa kuyajibu kwa maandishi ndipo usikilizwaji wa kesi ufuatie.
Hayo maelezo ndio bado hayajaandaliwa, hivyo tarehe husika ikifika nitafuatilia kuchukua nakala kisha kuandaa hayo majibu
Nakala ninayo. Hoja zilizopo zinaeleweka. Sema kwa maelezo ya Hakimu, Wakili wa upande wa pili ataandaa maelezo nami ndio natakiwa kuyajibu kwa maandishi ndipo usikilizwaji wa kesi ufuatie. Hayo maelezo ndio bado hayajaandaliwa, hivyo tarehe husika ikifika nitafuatilia kuchukua nakala kisha kuandaa hayo majibu
Habari wakuu,
Nina kesi inayohusu masuala ya ndoa. Tumefikia hatima mahalama ya mwanzo pale Stop Center Temeke. Mwenzangu kakata rufaa. Nimeambiwa na Hakimu kujibu hoja za upande wa pili wa maandishi. Ndio nauliza. Naweza kujibu mwenyewe? Najibu vipi? Mawazo yenu muhimu sana
Kimsingi hapo mmeomba shauri liendeshwe kwa maandishi hivyo basi kwa wewe kuandika ni ngumu kwa sababu hiyo inahusisha utaalamu (submission) hivyo lazima utafute mtaalamu wa kukuandikia
Kimsingi hapo mmeomba shauri liendeshwe kwa maandishi hivyo basi kwa wewe kuandika ni ngumu kwa sababu hiyo inahusisha utaalamu (submission) hivyo lazima utafute mtaalamu wa kukuandikia