yusuph kizee
New Member
- Dec 26, 2020
- 1
- 1
Hello!!
Nina 1.5 milioni nahitaji kuanzisha biashara ya vifaa vya simu na vifaa vya umeme. Je, hii pesa itaweza kumudu kuanzisha biashara hii?
Watalam waje wanifafanulie vizuri
Nina 1.5 milioni nahitaji kuanzisha biashara ya vifaa vya simu na vifaa vya umeme. Je, hii pesa itaweza kumudu kuanzisha biashara hii?
Watalam waje wanifafanulie vizuri