officialstawa
Member
- Sep 30, 2016
- 95
- 18
jaman habari? tcu wamefungua kwa round ya tatu,, je unaweza ukaaply kama new applicant?
Hapanaaajaman habari? tcu wamefungua kwa round ya tatu,, je unaweza ukaaply kama new applicant?
huwezi mbona maelezo yanajitosheleza ktk lile tangazo laa TCUjaman habari? tcu wamefungua kwa round ya tatu,, je unaweza ukaaply kama new applicant?
Km hukuwahi kuapply unaanza upya(New Applicant)jaman habari? tcu wamefungua kwa round ya tatu,, je unaweza ukaaply kama new applicant?
sasa kaka angu mbona wamesema kwa wale walio jiregister tuu ambao wamekosa awam ya kwanza na piliKm hukuwahi kuapply unaanza upya(New Applicant)
Km ulishaapply round zilizopita ukakosa unabadili tu machaguo
sawa asanteeKawaulize pale mwenge mi kwa second round walinikubalia niapply kama new applicant
nafanyaje sasa msaada plzHapanaaa
Nenda pale kwa ofis zaonafanyaje sasa msaada plz
Wahi Ofisini Kwao Watakusaidiajaman habari? tcu wamefungua kwa round ya tatu,, je unaweza ukaaply kama new applicant?
pouwa asanteeNenda pale kwa ofis zao
Subiri mwakani ufanye maamuzi sahihijaman habari? tcu wamefungua kwa round ya tatu,, je unaweza ukaaply kama new applicant?
sawa nashukuruWahi Ofisini Kwao Watakusaidia
dah mwakani mbali kama ikiwezekana nisome mwaka huuSubiri mwakani ufanye maamuzi sahihi
chagua tu iyo applcation nyingneJamani hivi ni sawa, profile yangu inaonyesha WAIT FOR NEXT SELECTION, Lakini siwezi kuona hata machaguo yangu ya vyuo.
Is this okay??
Bora uchelewe kuliko kusoma kitu kwa pressure, ukajutia baadae mwaka mmoja sio mbali hope utaweza kurekebisha makosa uliyofanya wakt wa kuchagua first roundkak
dah mwakani mbali kama ikiwezekana nisome mwaka huu
Sidhani kama umenielewa.c
chagua tu iyo applcation nyingne
Wait = subiriJamani hivi ni sawa, profile yangu inaonyesha WAIT FOR NEXT SELECTION, Lakini siwezi kuona hata machaguo yangu ya vyuo.
Is this okay??
asante kwa ushauri ikishndikana itabidi nifanye ivyoBora uchelewe kuliko kusoma kitu kwa pressure, ukajutia baadae mwaka mmoja sio mbali hope utaweza kurekebisha makosa uliyofanya wakt wa kuchagua first round