Mzee Wa Kazi Chafu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2022
- 2,220
- 4,901
Nawaonea huruma sana Yanga kukutana na jiwe ambalo hata wao walikuwa wanaomba usiku na mchana wasipite hili chocho. Baadhi wanajipa faraja kutokana na ufasini wa Simba Sc kimataifa wakidhani ni kazi rahisi.
View attachment 2361516
Tathmini niliyofanya inaniambia Utopolo imefika mwisho, hivyo ijiandae na Confederation Cup.
Kama mtu nayejiamini naweka dau la laki 3. Utopolo wakitoboa nitatoa kwa member au members watakao weka dau na mimi. Moderator wanaweza kusimamia show nzima ya dau.
Kama unajiamini weka hiyo 1m mimi naweka laki 3OYA HILO DAU LAKO MBN DOGO, TUWEKEANE 1 MILLION….BINAFSI NASHIDA NA HIZO MILLION 2
Timu imepita kwa away goal advantage tena kwa timu ya Ethiopia ila inavyo pambwa wao hawaoni ugumu wanao enda kukutana nao na wa Angola walio shinda awayYaani kuna watu wajinga sijapata kuona. Hiyo timu inavyopigiwa upatu utadhani ni tishio, lakini kama una akili timamu unajua hata kufuzu kwao hatua hii wamepata taabu kweli, ushindi mwembamba wala sio kitu cha kutisha. Sema kuna watu wamejaliwa midomo michafu nyenye kuwashwa kutema shombo.
Ukitizama vizuri hiyo video ya vibe utaniona nimeshika fataki 🤣🤣🤣🤣Kwa hisani ya gugo.....
Records za michuano hii zinaibeba Omdurman na pia uwanja wao unapakia 60000....na mashabiki wao Oya Oya za kutosha acha wetu akipigwa chenga mchezaji na tukifungwa au kusawazishiwa tunapoa kupoa.
Mie Mnyama ila Nawatikia kila la heri
Kama unajiamini weka hiyo 1m mimi naweka laki 3
unazani Al Hilal wangepewa zalan si wangempiga 100-0. wao walianza na st george washindani kweli kweli sio zalan na mechi zao zilikuw na home na away sio kwa mkapa zote mbili.Yaani kuna watu wajinga sijapata kuona. Hiyo timu inavyopigiwa upatu utadhani ni tishio, lakini kama una akili timamu unajua hata kufuzu kwao hatua hii wamepata taabu kweli, ushindi mwembamba wala sio kitu cha kutisha. Sema kuna watu wamejaliwa midomo michafu nyenye kuwashwa kutema shombo.
Kwani kwenye 1m hakuna laki 3? Mbona kama unatafuta sababu 🤣🤣🤣🤣Weka 1 Million Tubeti Kama Unajiamini Kweli?
Ni bora Yanga muanze kuwekeza nguvu kubwa kwenye kombe la Shirikisho... huku Champions siyo size yenu mzee...Mtu Atakimbia Uzi Wake…Subiri Muone Kudadek!
Yanga mna historia gani huko Kimataifa...?Mnaishi kwa historia na kukariri!!
We mpumbavu tuKwani kwenye 1m hakuna laki 3? Mbona kama unatafuta sababu
Mafanikio yapi hayo?Utopolo wameyachukua mafanikio ya simba wameyavaa wao
wakati wao ni mbwa wa chini
hahahah
Mpumbavu mama yakoWe mpumbavu tu
Kwani kwenye 1m hakuna laki 3? Mbona kama unatafuta sababu
Unaonaje uweke tako kabisa ili wakufumueNawaonea huruma sana Yanga kukutana na jiwe ambalo hata wao walikuwa wanaomba usiku na mchana wasipite hili chocho. Baadhi wanajipa faraja kutokana na ufasini wa Simba Sc kimataifa wakidhani ni kazi rahisi.
View attachment 2361516
Tathmini niliyofanya inaniambia Utopolo imefika mwisho, hivyo ijiandae na Confederation Cup.
Kama mtu nayejiamini naweka dau la laki 3. Utopolo wakitoboa nitatoa kwa member au members watakao weka dau na mimi. Moderator wanaweza kusimamia show nzima ya dau.