Mzee Wa Kazi Chafu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2022
- 2,220
- 4,889
Nawaonea huruma sana Yanga kukutana na jiwe ambalo hata wao walikuwa wanaomba usiku na mchana wasipite hili chocho. Baadhi wanajipa faraja kutokana na ufasini wa Simba Sc kimataifa wakidhani ni kazi rahisi.
View attachment 2361516
Tathmini niliyofanya inaniambia Utopolo imefika mwisho, hivyo ijiandae na Confederation Cup.
Kama mtu nayejiamini naweka dau la laki 3. Utopolo wakitoboa nitatoa kwa member au members watakao weka dau na mimi. Moderator wanaweza kusimamia show nzima ya dau.
OYA HILO DAU LAKO MBN DOGO, TUWEKEANE 1 MILLION….BINAFSI NASHIDA NA HIZO MILLION 2