Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,938
- 4,354
Hizi kazi binafsi naona wapewe watu wenye ulemavu kama viwete, viziwi.
Maana kwenye hili kundi kuna watu wamefanikiwa kupata elimu lakini changamoto kubwa imekua kupata ajira.
Katika vituo vya mwendokasi, mkatisha tiketi kwa muda mwingi anakua amekaa tu, nadhani hii aina ya kazi inawafaa sana ndugu zetu walemavu.
Maana kwenye hili kundi kuna watu wamefanikiwa kupata elimu lakini changamoto kubwa imekua kupata ajira.
Katika vituo vya mwendokasi, mkatisha tiketi kwa muda mwingi anakua amekaa tu, nadhani hii aina ya kazi inawafaa sana ndugu zetu walemavu.