Admin mwenyewe mimiItategemea na korona itakavyopiga ikizidi halitadumu isipozidi litadumu..
Nyie wasichana kwani mnakerekwa?Akili za wavulana hzo
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nyie wasichana kwani mnakerekwa?
Hapa ndio akili ya kijana wa kitanzania ilipoishia.Kuna kautafti nakafanya hapa!
Nimeamua kutengeneza group la whatsapp kwa ma x girl friend wangu wote niliowahi kuwa nao!!
Nitawaletea mrejesho kama group litadumu!
mimi na lemutuz tumepisha miaka miwili kuzaliwaVyuo vimefungwa mnasumbua
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wewe ambae una akili una ghorofa ngapi mjini?Hapa ndio akili ya kijana wa kitanzania ilipoishia.
Mbaya zaidi ukimaliza shule utaajiriwa kama mshauri wa rais na bado tutakua tunajiuliza kwann tanzania ni maskini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakukuwa na haja ya kutujulishaKuna kautafti nakafanya hapa!
Nimeamua kutengeneza group la whatsapp kwa ma x girl friend wangu wote niliowahi kuwa nao!!
Nitawaletea mrejesho kama group litadumu!