MLALE
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 220
- 423
Ni kwa nini tuliowaajiri kutuongoza wasifanye yafuatayo kuboresha barabara zetu?
1.(a)Kutumia wafungwa waliofungwa vifungo vya muda mfupi kutujengea barabara zetu korofi? (As cheap labour)
1(b)Kutumia malighafi tulizonazo kama mchanga, kokoto, saruji na wakandarasi wetu wazawa kutujengea barabara za lami?
2.Kwenye kilimo....kama Misri wanafanya vema kwenye kilimo cha matunda na mboga mboga, ingawa wapo jangwani, sisi tufanye yafuatayo........(ngoja niendelee kuwaza kwanza).
1.(a)Kutumia wafungwa waliofungwa vifungo vya muda mfupi kutujengea barabara zetu korofi? (As cheap labour)
1(b)Kutumia malighafi tulizonazo kama mchanga, kokoto, saruji na wakandarasi wetu wazawa kutujengea barabara za lami?
2.Kwenye kilimo....kama Misri wanafanya vema kwenye kilimo cha matunda na mboga mboga, ingawa wapo jangwani, sisi tufanye yafuatayo........(ngoja niendelee kuwaza kwanza).