asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
aisee mimi nilianzia siasani nikaanza na ban ya wiki
Hata mimi nilianzia siasani , baada ya stress ya mapambano na harakati ya muda mrefu ndiyo kuna mtu akanionesha na huku.
aisee mimi nilianzia siasani nikaanza na ban ya wiki
Hamna tatizo, ila ujue atakuchukulia kama malaya fulani hivi anayegawa gawa hovyo kwa kila suruali. Hivyo utakuwa ni wa kutomb.wa tu hamna uhusiano hapo!
Inakuwa imekaa pouwa sana wengine huwa hatupendi usumbufu,nimekufuata,nimekueleza umeelewa,kunahaja gani kusumbuana? Nipe nikupe ndio habari yamjini sio unisumbue mpaka hamu iishe
Hakuna tatizo lolote!Ni mitazamo hasi waliyonayo baadhi ya watu.
Mie sioni tatizo mwanamke akinitongoza/akinipa papuchi siku ya kwanza tunaonana.... TENA NDIO NTAPENDA MARADUFU!
Eti wakina kaka msichana akitogozwa kwa Mara ya kwanza then akakubali then siku iyoiyo akaachia miguu na kutoa tunda eti kunatatizo? Maana naona hakuna haja ya Kubana akati kuna siku utaachia tu
Tunda kabla ya kuwekwa mezani na kuliwa linatakiwa kuoshwa ili mlaji alifurahie. Sasa kama la kwako muda wote liko vizuri ni vyema. Naamini una maanisha kuwa huyo mwanaume una background yake kidogo na mnafahamiana kama sivyo kuna wasiwasi kwani completely stranger ni ngumu na utaonekana una shida upstairs. Tazama hii video http://youtu.be/p3MwTuWgLiA
Thanx kaka coz mtu naweza kuona malaya
Hapana si kazi yangu kuwachagulia mods nani wa kumpiga ban bali ilikuwa ni haki yangu kuongea kile nilichokiona hakiko sawa
Hongera Mshana Jr. I am back from the three weeks ban. njoo tena ila usinichokoze...hahaha
cc-moods
Qui qui quiii Ngoja nianze kwa kukuchokonoa kwenye spellings za neno la mwisho ni mods yaani moderators sio moods JIULIZE KWANZA