Nadhani Ki bakwata bakwata sio leo. Ni kesho. Ila hakuna mtu anaekukataza unaweza kuanza kufunga tangu juzi.Kwani wamekataza watu wasifunge leo mkuu...?
Nadhani Ki bakwata bakwata sio leo. Ni kesho. Ila hakuna mtu anaekukataza unaweza kuanza kufunga tangu juzi.
Ramadan Kareem to you too!Oooh Owkay kumbe kibakwata bakwata nikajua Kiislam kama ni kibakwata sawa hata wakiamua kesho kutwa wafunge tu ila Kiislam watu wapo ndani ya Swaum. Alhamdulillah.
Huyu ni shuhuda mwengine Muislam ambaye mpaka kafikia kula kiapo sidhani kama ni kwa maslahi yake binafsi.
Amiin, Allah atujaalie mfungo mwema kwa wafungaji wote na atupokelee dua zetu pia atuwepesishie magumu yetu insha'Allah