Mabobish
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 366
- 280
Nawatafuta jamaa zangu Ndg. Johnson Magawa, Godfrey Pallangyo na Pantaleo Zacheo(aka Mkangara) pamoja na George Kafuka nilisoma na kumaliza nao Astashahada ya Ufugaji Nyuki katika Chuo cha Nyuki Tabora Mwaka 1993. Tangu wakati huo I.e 1993 hatujapata kuwasiliana na kila mmoja wetu hajui mwenzake alipo. Tafadhali kwa mwenye kujua habari za hawa Wandugu tujuzane kupitia Uzi huu