Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Siku ya ijumaa tarehe 3 niliwaomba ndugu wanajf kujua hospital nzuri hapa dar, nikaeleza kuwa mwanangu anaumwa anaharisha na kutapika. Pia nilisema kuwa nilimpeleka kwa Dr koya pale Lumumba jirani na chama cha Magamba akapewa dawa bila mafanikio!
Wengi mlitoa maoni yenu nikaahidi kufanyia kazi! Hakika palipo na wengi haliharibiki jambo.
Kwanza nilimurudisha kwa dr koya akambadilishia dawa na nikafuata ushauri wenu wa kupa juice ya machungwa na mapapai na kuhakikisha mke wangu anamnyonyesha vya kutosha bila kusahau kumpa maji!
Mungu si athumani, faizafox, rit, tumaini, magamba wala yericko; dogo kapona na anadunda kijoti!
Idumu JF
Wengi mlitoa maoni yenu nikaahidi kufanyia kazi! Hakika palipo na wengi haliharibiki jambo.
Kwanza nilimurudisha kwa dr koya akambadilishia dawa na nikafuata ushauri wenu wa kupa juice ya machungwa na mapapai na kuhakikisha mke wangu anamnyonyesha vya kutosha bila kusahau kumpa maji!
Mungu si athumani, faizafox, rit, tumaini, magamba wala yericko; dogo kapona na anadunda kijoti!
Idumu JF