Nawashtaki Grace Kiwhelu, Lucy Owenya, Mary Chitanda na Mwanasheria Mkuu


Carefree,

Umenimind bure kamanda. Sijakataa kumuongeza Namalok. Kabla sijakujibu nilikuwa namtafuta Mbunge wa Arusha ili niconfirm kuhusu Namalok kwani sijasikia wakimlalamikia mpaka ulipsema wewe. Kama umeona nilikugongea ka thanks muda fulani niliposoma post yako.

Kuhusu Mohi vijijini unajua kabisa walichofanya ila tutaona mwisho wake.
 
 
Hili ndiyo walinza kulilalamikia madiwani cdm na wabunge. wakaeleweshwe... Eti diwani wa kuteuliwa yuko huru kuchangua manispaa inaelekea waliliziaka na maelezo hayo ndipo likajitokea swala na Mary Chitanda kwa maelezo yako itabidi ufanye inabidi umjulishe maana hakuwa mkazi wa Arusha kwa zaidi ya miaka 5...
 
Sasa maandamano yale yamemaliza vip mgogoro wa Umeya wa Arusha? Je unaweza kukiri sasa kuwa ku-opt kufanya maandamano badala ya kwenda makamani haukuwa uamuzi sahihi kwa mazingira ya suala husika?

Jibu la swali lako,
click this link:
Maandamano ya chadema yanayoendelea sasa ambayo yameanza jana huko Mwanza, leo yapo Geita na yanatarajia kuendelea maeneo mengine nchini yamemaliza matatizo yanayotajwa kubeba ujumbe wa maandamano hayo? Ufisadi, Dowans, Mgawo wa Umeme na Maisha magumu kwa watanzania yamekwisha? Au unatarajia yataisha ndani ya siku tisa za maandamano hayo?
Think!
 

Mkuu thanks kwa kuliona hilo hapo kwenye red.
Wale wote waliokuwa wananibeza kama watafuatilia michango yangu ndani ya thread hii (achilia mbali majibu ya mabezo), hiki ndicho nilichokuwa nasisitiza mimi. Bahati mbaya sikukiandika katika tone wanayoitaka walionibeza. Mwishowe niliishia kubezwa na kutopatiwa majawabu sahihi kwa nilichouliza/kushauri. Yote kwa yote nasimama kwenye hilo.
 
Msando, inawezekana Dhamira yako ni kumDisqualify Chitanda kwa kuona kuna Nguvu zaidi za Hoja za Kisheria, kule Kuwashtaki kina Kihwelu na Owenya ikawa ni just a Tactical Legal Ploy to Camouflage your Actual intent. Unfortunately, you are Most probably Doomed to be Entangled in The Confusing Quamire of Lumpen Party Politics. Hivi kweli Watu walifanywa waandamane Hadi Kufa kwa ajili ya Tafsiri tu ya Origin ya Uteuzi wa Chitanda?! Definitely Origin ya uteuzi ni Pale Uteuzi wenyewe Ulipofanyika, km Milipuko ya Mabomu ya G/Mboto ni yale Maghala ya Jeshi na Sio yalikotengenezwa Mabomu yenyewe. Masuala ya ndani ya Chama juu ya Namna ya kufikia uteuzi wao, its their Business, Sheria nadhani itaangalia zaidi Chombo kilichofanya Uteuzi huo. Na si Wote walianza mchakato hio Ngazi za Mkoa, Km Mama Anna Abdallah hakupigiwa kura za Uteuzi popote Bali ameteuliwa Moja kwa Moja na NEC, sasa Nae kwa Tafsiri yako ataingia kwenye Halmashauri ya Wilaya ipi? Naweza kupewa mwanga Zaidi?
 

Msendo ur the Man, i had a dought lakini umeweza ku i clear it, pls GO, hata sijui kwa nini unazidi kupoteza muda pls GO
 
Nilisema kwenye hii thread ni mtazamaji. Bado natazama.

Anna Moulid Komu vipi mbona hajashitakiwa
 

hAPA HATUZUNGUMZII UANACHAMA NI SHERIA INASEMAJE? ENDELEA MKUU TUMEKUELEWA VIZURI SANA NA FIKRA ZAKO ZIDUMU, USIACHE WAHUNI WACHACHE WAFINYANGE SHERIA UKU UKIJUA SHERIA.
 
MsandoAlberto

Nimekusoma tafadhali sana endelea na nia yako njema.
 
MsandoAlberto

Nimekusoma tafadhali sana endelea na nia yako njema.

mkuu ngongo .... ulitujuza kwamba wale madiwani waliofukuzwa CDM watafungua kesi .... hebu tujuze wamefikia wapi na mkondo wa sheria
 
Go sunny go for a JUST COURSE!!
 

Wasu,uko sahihi kabisa! Kwanza Huyu diwani mwanasheria hinyo basi alie na Warema ambaye ndo mtafsiri mkuu wa sheria za nchi na tunajua kuwa alifanyaivo ili kumlinda Chitanda aliyevuruga ule uchaguzi wa meya wa SISIEM wa H/shauri ya ARUSHA!
 
Wasu,uko sahihi kabisa! Kwanza Huyu diwani mwanasheria hinyo basi alie na Warema ambaye ndo mtafsiri mkuu wa sheria za nchi na tunajua kuwa alifanyaivo ili kumlinda Chitanda aliyevuruga ule uchaguzi wa meya wa SISIEM wa H/shauri ya ARUSHA!
<br />
<br />

Mahakama ilitoa uamuzi na kutupilia mbali kwa kisingizio kwamba muda wa kufungua madai umepita. Sipo Arusha ila nitajitahidi kuweka maamuzi ya mahakama hapa kwa taarifa.
 
Msando,
This is good for your career, push it up, dont give up. Haya mambo ya Udiwani na CDM ni ya msimu tu, nadhani umeyaona majibu ya wanachama wenzio. Siasa upepo waweza kuhama na CDM ikawa kama TLP , NCCR au CUF. Nani alijua Cuf watakuja kuwa hivi?
So jenga jina kwenye professional yako, siasa egesha tu kiaina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…