mpyonko
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 353
- 388
- Thread starter
- #21
Endelea kusubiri hizo taasisi za kimataifa tu mkuu, lkn mwisho wa siku utaishia kulia lia tu...Mbowe anawaharibiaHuu tunacheza nao kwa kuwa tasisi za kimataifa hazipo ila uchaguzi mku sio kama unavyofikiria mku dunia ina mulika tena inawezekana ndo utatuletea mstakabali wa nchi. Na chadema sio wepesi kama unavyofikiria kumbuka dola imefanya kazi kubwa sana kwa maslahi ya muda mfupi.
Sasa mwanachadema kujiunga na ss inawezekana tukampokea na Itikadi yake akabaki nayo hii itakuwa faida kwa nani zaidi wenye itikadi inayofanana naye