Nawashauri CCM wabadili jina la chama chao

Nawashauri CCM wabadili jina la chama chao

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,866
Reaction score
4,253
Hili neno MAPINDUZI linawapa sana joto chama cha mapinduzi. Kwao kuliitumia ni sawa. Wengine kulitumia ni kiashiria cha uhaini. Mnaonaje mbadili jina la chama chenu ili neno hilo liweze kuharamishwa?

So far kwa kuwa mnalitumia, wacheni na wengine wajinasibishe nalo. Bahati nzuri hawajalitamka bali nyie ndio mmelishikia bango.

Acheni wananchi waandamane. Hayo mapinduzi mmeyatamka nyie.

IMG_20251208_200813.jpg
 
Eti wanataka maandamano ambayo polisi wanawapa waandamanaji maji ya kunywa.
 
CCM inabidi kifutwe kabisa. Itakuwa ni moja njia za kuponya majeraha na maumivi kwa Watanzania wote.
 
Back
Top Bottom