Nasikia hadithi za biblia kutoka Israel, zinasema Mungu wao zamani alikuwa active mfano mtu akidanganya huyo Mungu wao anampoteza on the spot yaani ingekuwa hivyo leo hii.
Huyu December na wenzake wa aina hii tungekuwa tumeisha wasahau zamani sana.
Basi tena, kwani nasikia Mungu huyo alibadilisha gia.
Tume huru idaiwe mapema ccm itoke vinginevyo watanzania mtapata tabu sana
Salute Boss,
Biblia sio kitabu cha ''hadithi'' ni kitabu cha matukio ''HALISI'' yaliyokuwa yanatokea zaman.. Please naona kama umekishusha thamani....
Lakini learn to respect te NAME of GOD... ''Mungu Kubadilisa GIA'' Mungu hafanyi kazi kwa style hiyo mkuu....
Ushauli tuu...
Dah Huyu jamaa mnamshambulia mno a see! Yan likija suala LA makamba ktk thread hizi ni madongo tuuu.ebu semen na mazur take bhasi
Na-declare interest, sina upande wa kisiasa ambao labda naupigia chapuo...hakuna mwanasiasa ambaye mimi kama mimi binafsi namuamini 100%...hayupo...! ispokua mimi nimezungumza kwa ujumla tu.
Lakini huyu Makamba anapozungumzwa kwa mazuri yake machache tunaisema nafasi yake kuwa azungumzi kama ispokua ni serikali iliyopo nyuma yake... lkn tunapomzungumza mahali ambapo inaonekana kama ameteleza tunamzungumza yeye binafsi... hilo ndio jambo ambalo mimi naona kama tunamuonea.
Nchi hii imelalamikiwa/inalalamikiwa kwa mambo mengi sana..na kwa sehemu kubwa huyo makamba mengi kayakuta yalishatokea... Na ikumbukwe kuwa wakati wa sheria ya cybercrime inapitishwa... huyu makamba alikua naibu waziri., kwnn tusimlaumu zaidi waziri wake tunamlaumu naibu waziri....?
Na kuhusu yeye kuutafuta urais mimi kwa namna navyoziangalia siasa za tanzania siwezi kum-writeoff Makamba hata kidogo anaweza akawa rais... na wala c kwa mapanga japo inaweza ikawa kwa namna moja au nyingine kukatokea kutokuridhika kwa baadhi ya kundi fulani na hiyo ni kawaida ktk chaguzi.
Aise...Hii tuhuma nzito...Watu wa tabia kama hizi kama naye anazo, hawakawii kusaliti hata nchi zao ili tu apate atakacho...the end justifies tye means sort of ideology!He is evil.
Makamba kapelekewa proposal nzuri sana juu ya utunzaji wa mazingira ambayo ingewanufaisha Watanzania wote na kuondoa kwa kiasi kikubwa sana uharamia wa wanyama pori. Ni proposal ya kimataifa kabisa lakini amebunda tuu, hajajibu wala kuifanyia kazi.
Leo anapiga kelele hapa eti matokeo, matokeo husababishwa na siyo kusubiriwa. Huyu ni dhahiri anawahujumu wenzake ili wasionekane kufanay vizuri, na ndiyo sababu hachangamkii fursa na sasa anaanza kujiengua.
Hana lolote zaidi ya roho mbaya na ukatili wa kutisha. HAFAI!