johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,936
- 141,908
Mimi siyo accountant lakini nafahamu 86% za Barrick na 14% za JMT hazimaanishi ratio ya kugawana faida bali umiliki.
JMT na Barrick ambao ndio wamiliki wakuu wakishafanya malipo yote ya kisheria ikiwemo kuwalipa faida stahiki wanahisa " wadogo wadogo" ambao ni pamoja na Acacia, basi kile kinachobaki ndio hawa wamiliki wawili watagawana 50 kwa 50 kama walivyokubaliana.
So Magufuli na Kabudi wapo sahihi kabisa wala haihitaji kwenda Havard au Oxford kulielewa hili!
JMT na Barrick ambao ndio wamiliki wakuu wakishafanya malipo yote ya kisheria ikiwemo kuwalipa faida stahiki wanahisa " wadogo wadogo" ambao ni pamoja na Acacia, basi kile kinachobaki ndio hawa wamiliki wawili watagawana 50 kwa 50 kama walivyokubaliana.
So Magufuli na Kabudi wapo sahihi kabisa wala haihitaji kwenda Havard au Oxford kulielewa hili!