Mimi si mwanachama wa CHADEMA lakini ninawashangaa wanaohama chama chao kwa sababu ya Zitto Kabwe wakati Zitto mwenyewe bado mwanachama wa CHADEMA na kasema haondoki.
Sidhani kama hoja ya kuilaumu CC ya CHADEMA juu ya uamuzi kwa ZZK ni sababu ya wao kuhama na kumuacha mtu wanayemtetea akibaki kuwa mwanachama wa CHADEMA tena aliyeapa kutohama chama chake.
Sidhani kama hoja ya kuilaumu CC ya CHADEMA juu ya uamuzi kwa ZZK ni sababu ya wao kuhama na kumuacha mtu wanayemtetea akibaki kuwa mwanachama wa CHADEMA tena aliyeapa kutohama chama chake.