PERAMIHO YETU 1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2025
- 344
- 692
Ni hivi wakati wa kampeni mliowengi kama 95% mlichagua upande wa kisiasa na mkatoa maneno ya kubeza kwa wapinZani mkasema chama chenu kina watu wengi na kina nguvu wapinzan n wachache
sasa leo mnalalamika hakuna show hata streaming kwenye hizo platforms zenu kama.youtube watu n wachache sasa kama hao mliowapigia kampeni n wengi mbona hawawasapoti kipindi hiki kigumu kwenye show au huko kwenye youtube mpate viewers wengi
jibu n ndogo tu wanaowasapoti ninyi ndio wale mliokuwa mnawabeza kwenye majukwaa ya kisiasa na mliokuwa mnawasapoti sio wateja wenu
Leo wanasiasa wamefanikiwa lakini nyie waaanii mmebaki yatima hajulikani msemaji wenu mara MAJIZO mara mzee rambirambi za misiba
NATUMAINI HILI LITAKUWA FUNZO KWENU
sasa leo mnalalamika hakuna show hata streaming kwenye hizo platforms zenu kama.youtube watu n wachache sasa kama hao mliowapigia kampeni n wengi mbona hawawasapoti kipindi hiki kigumu kwenye show au huko kwenye youtube mpate viewers wengi
jibu n ndogo tu wanaowasapoti ninyi ndio wale mliokuwa mnawabeza kwenye majukwaa ya kisiasa na mliokuwa mnawasapoti sio wateja wenu
Leo wanasiasa wamefanikiwa lakini nyie waaanii mmebaki yatima hajulikani msemaji wenu mara MAJIZO mara mzee rambirambi za misiba
NATUMAINI HILI LITAKUWA FUNZO KWENU