Agogwe JF-Expert Member Feb 20, 2013 2,744 2,988 Jan 4, 2018 #1 Salamu sana wapendwa amani ya BWANA iwe kwenu, mi mzima wa afya ya roho na mwili hofu yangu ni juu yenu vipi hamjambo? nimepita niwajulie hali na kuwatakia kila la heri 2018 Watu8 tpaul miss chagga Luv mshana jr kabanga Evelyn Salt kahtaan Nyani Ngabu GENTAMYCINE PakaJimmy ........... Maxence Melo ... na wengine wote inshallah panapo majaliwa. lightsdown
Salamu sana wapendwa amani ya BWANA iwe kwenu, mi mzima wa afya ya roho na mwili hofu yangu ni juu yenu vipi hamjambo? nimepita niwajulie hali na kuwatakia kila la heri 2018 Watu8 tpaul miss chagga Luv mshana jr kabanga Evelyn Salt kahtaan Nyani Ngabu GENTAMYCINE PakaJimmy ........... Maxence Melo ... na wengine wote inshallah panapo majaliwa. lightsdown
thA goD JF-Expert Member Jul 27, 2017 1,943 1,847 Jan 4, 2018 #2 Nimefungua uzi juu sio kwa kuupenda bali kuchukua avatar yako mkuu.
PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,203 8,731 Jan 13, 2018 #3 Agogwe said: Salamu sana wapendwa amani ya BWANA iwe kwenu, mi mzima wa afya ya roho na mwili hofu yangu ni juu yenu vipi hamjambo? nimepita niwajulie hali na kuwatakia kila la heri 2018 Watu8 tpaul miss chagga Luv mshana jr kabanga Evelyn Salt kahtaan Nyani Ngabu GENTAMYCINE PakaJimmy ........... Maxence Melo ... na wengine wote inshallah panapo majaliwa. lightsdown Click to expand... Kwa miye binafsi mzima wa afya kaka.. Hofu na mashaka kwako...mambo yametuzidia wengine siye.
Agogwe said: Salamu sana wapendwa amani ya BWANA iwe kwenu, mi mzima wa afya ya roho na mwili hofu yangu ni juu yenu vipi hamjambo? nimepita niwajulie hali na kuwatakia kila la heri 2018 Watu8 tpaul miss chagga Luv mshana jr kabanga Evelyn Salt kahtaan Nyani Ngabu GENTAMYCINE PakaJimmy ........... Maxence Melo ... na wengine wote inshallah panapo majaliwa. lightsdown Click to expand... Kwa miye binafsi mzima wa afya kaka.. Hofu na mashaka kwako...mambo yametuzidia wengine siye.
Mndali ndanyelakakomu JF-Expert Member Dec 14, 2016 13,997 31,708 Jan 13, 2018 #4 Wahusika wanakuja maana naona umewataja kwa majina wengine tunajipendekeza Natania tu
kahtaan JF-Expert Member Jul 11, 2009 18,700 11,301 Jun 12, 2020 #5 Agogwe said: Salamu sana wapendwa amani ya BWANA iwe kwenu, mi mzima wa afya ya roho na mwili hofu yangu ni juu yenu vipi hamjambo? nimepita niwajulie hali na kuwatakia kila la heri 2018 Watu8 tpaul miss chagga Luv mshana jr kabanga Evelyn Salt kahtaan Nyani Ngabu GENTAMYCINE PakaJimmy ........... Maxence Melo ... na wengine wote inshallah panapo majaliwa. lightsdown Click to expand... Japo nimechelewa kwa miaka miwili kujibu salamu zako natumai bado uko hai kupokea zangu. Ahsanta kwa kunikumbuka
Agogwe said: Salamu sana wapendwa amani ya BWANA iwe kwenu, mi mzima wa afya ya roho na mwili hofu yangu ni juu yenu vipi hamjambo? nimepita niwajulie hali na kuwatakia kila la heri 2018 Watu8 tpaul miss chagga Luv mshana jr kabanga Evelyn Salt kahtaan Nyani Ngabu GENTAMYCINE PakaJimmy ........... Maxence Melo ... na wengine wote inshallah panapo majaliwa. lightsdown Click to expand... Japo nimechelewa kwa miaka miwili kujibu salamu zako natumai bado uko hai kupokea zangu. Ahsanta kwa kunikumbuka