S Skype JF-Expert Member Joined Nov 5, 2010 Posts 7,266 Reaction score 1,637 Feb 20, 2012 #41 Kabakabana said: ooh owkay karibu,unaweza ukanikuta huku Click to expand... Utakua huko kwa muda gani?
Kabakabana said: ooh owkay karibu,unaweza ukanikuta huku Click to expand... Utakua huko kwa muda gani?
Kabakabana JF-Expert Member Joined Aug 5, 2011 Posts 5,550 Reaction score 1,166 Feb 20, 2012 Thread starter #42 Skype said: Biashara gani tena bibie? Click to expand... hiyo inayofanyika makoroboi
nitonye JF-Expert Member Joined Dec 18, 2011 Posts 7,349 Reaction score 3,904 Feb 20, 2012 #43 Skype said: Ulikua ukipita mchana au usiku? Click to expand... Tatizo shughuli zangu zilikuwa zinaisha mida ya usiku halafu ile ilikuwa njia kwa hiyo sikuwa na namna nyingine
Skype said: Ulikua ukipita mchana au usiku? Click to expand... Tatizo shughuli zangu zilikuwa zinaisha mida ya usiku halafu ile ilikuwa njia kwa hiyo sikuwa na namna nyingine
Kabakabana JF-Expert Member Joined Aug 5, 2011 Posts 5,550 Reaction score 1,166 Feb 20, 2012 Thread starter #44 Skype said: Utakua huko kwa muda gani? Click to expand... mpaka mwisho wa mwezi,au mwanzo wa mwezi ujao
Skype said: Utakua huko kwa muda gani? Click to expand... mpaka mwisho wa mwezi,au mwanzo wa mwezi ujao
Kabakabana JF-Expert Member Joined Aug 5, 2011 Posts 5,550 Reaction score 1,166 Feb 20, 2012 Thread starter #45 nitonye said: Tatizo shughuli zangu zilikuwa zinaisha mida ya usiku halafu ile ilikuwa njia kwa hiyo sikuwa na namna nyingine Click to expand... wee jitetee tu, utalala nje nakwambia
nitonye said: Tatizo shughuli zangu zilikuwa zinaisha mida ya usiku halafu ile ilikuwa njia kwa hiyo sikuwa na namna nyingine Click to expand... wee jitetee tu, utalala nje nakwambia
L LIFE OWNER Member Joined Feb 17, 2012 Posts 64 Reaction score 0 Feb 20, 2012 #46 Kabakabana said: Wanajf,nawapenda sana. Click to expand... Kimapenzi?!!!!
nitonye JF-Expert Member Joined Dec 18, 2011 Posts 7,349 Reaction score 3,904 Feb 20, 2012 #47 Kabakabana said: shughuli gani usiku wa manane yatakushinda mwanaume lol Click to expand... Nilikuwa na kazi ya kupatro maeneo ya town ndio maana
Kabakabana said: shughuli gani usiku wa manane yatakushinda mwanaume lol Click to expand... Nilikuwa na kazi ya kupatro maeneo ya town ndio maana
S Skype JF-Expert Member Joined Nov 5, 2010 Posts 7,266 Reaction score 1,637 Feb 20, 2012 #48 Kabakabana said: hiyo inayofanyika makoroboi Click to expand... Aaa Kabakabana! Ok, noted for futher investigation.
Kabakabana said: hiyo inayofanyika makoroboi Click to expand... Aaa Kabakabana! Ok, noted for futher investigation.
Kabakabana JF-Expert Member Joined Aug 5, 2011 Posts 5,550 Reaction score 1,166 Feb 20, 2012 Thread starter #49 LIFE OWNER said: Kimapenzi?!!!! Click to expand... ndo akili yako ipoishia?
dubu JF-Expert Member Joined Oct 18, 2011 Posts 3,502 Reaction score 3,485 Feb 20, 2012 #50 Kabakabana said: ooh owkay karibu,unaweza ukanikuta huku Click to expand... usije ukafanya kosa. ukirudi naomba uniletee sangara walio banikwa. jitahidi sana mkuu. utakuwa umefanya jambo la maana sana.
Kabakabana said: ooh owkay karibu,unaweza ukanikuta huku Click to expand... usije ukafanya kosa. ukirudi naomba uniletee sangara walio banikwa. jitahidi sana mkuu. utakuwa umefanya jambo la maana sana.
Kabakabana JF-Expert Member Joined Aug 5, 2011 Posts 5,550 Reaction score 1,166 Feb 20, 2012 Thread starter #51 nitonye said: Nilikuwa na kazi ya kupatro maeneo ya town ndio maana Click to expand... tutasikia mengi mwaka huu, mpaka maharage utasema uliuza
nitonye said: Nilikuwa na kazi ya kupatro maeneo ya town ndio maana Click to expand... tutasikia mengi mwaka huu, mpaka maharage utasema uliuza
Kabakabana JF-Expert Member Joined Aug 5, 2011 Posts 5,550 Reaction score 1,166 Feb 20, 2012 Thread starter #52 Skype said: Aaa Kabakabana! Ok, noted for futher investigation. Click to expand... hiyo analysis ya sasa hivi ikoje?
Skype said: Aaa Kabakabana! Ok, noted for futher investigation. Click to expand... hiyo analysis ya sasa hivi ikoje?
S Skype JF-Expert Member Joined Nov 5, 2010 Posts 7,266 Reaction score 1,637 Feb 20, 2012 #53 Kabakabana said: wee jitetee tu, utalala nje nakwambia Click to expand... Mkuu, naona kama umeanza kujitetea!? BTW mi nimekuuliza kwa nia njema tu.
Kabakabana said: wee jitetee tu, utalala nje nakwambia Click to expand... Mkuu, naona kama umeanza kujitetea!? BTW mi nimekuuliza kwa nia njema tu.
Kabakabana JF-Expert Member Joined Aug 5, 2011 Posts 5,550 Reaction score 1,166 Feb 20, 2012 Thread starter #54 dubu said: usije ukafanya kosa. ukirudi naomba uniletee sangara walio banikwa. jitahidi sana mkuu. utakuwa umefanya jambo la maana sana. Click to expand... kosa lipi tena?usihofu sema kingine
dubu said: usije ukafanya kosa. ukirudi naomba uniletee sangara walio banikwa. jitahidi sana mkuu. utakuwa umefanya jambo la maana sana. Click to expand... kosa lipi tena?usihofu sema kingine
dubu JF-Expert Member Joined Oct 18, 2011 Posts 3,502 Reaction score 3,485 Feb 20, 2012 #55 Kabakabana said: hiyo inayofanyika makoroboi Click to expand... mkuu nande pale saa hizi upige picha tuweke kwenye jukwaa la kikubwa.
Kabakabana said: hiyo inayofanyika makoroboi Click to expand... mkuu nande pale saa hizi upige picha tuweke kwenye jukwaa la kikubwa.
nitonye JF-Expert Member Joined Dec 18, 2011 Posts 7,349 Reaction score 3,904 Feb 20, 2012 #56 Kabakabana said: wee jitetee tu, utalala nje nakwambia Click to expand... Usimwambie wifi yako halafu usisahau kuutegesha ule mlango nisipate shida kuufungua ili wifi yako asisikie
Kabakabana said: wee jitetee tu, utalala nje nakwambia Click to expand... Usimwambie wifi yako halafu usisahau kuutegesha ule mlango nisipate shida kuufungua ili wifi yako asisikie
Kabakabana JF-Expert Member Joined Aug 5, 2011 Posts 5,550 Reaction score 1,166 Feb 20, 2012 Thread starter #57 Skype said: Mkuu, naona kama umeanza kujitetea!? BTW mi nimekuuliza kwa nia njema tu. Click to expand... hiyo message ilienda kwa nitonye sio kwako jamani
Skype said: Mkuu, naona kama umeanza kujitetea!? BTW mi nimekuuliza kwa nia njema tu. Click to expand... hiyo message ilienda kwa nitonye sio kwako jamani
dubu JF-Expert Member Joined Oct 18, 2011 Posts 3,502 Reaction score 3,485 Feb 20, 2012 #58 Kabakabana said: kosa lipi tena?usihofu sema kingine Click to expand... ni hilo tu mkuu. najua utakuwa na ratiba ngumu lakini naomba uipe kipaumbele. ntashukuru sana.
Kabakabana said: kosa lipi tena?usihofu sema kingine Click to expand... ni hilo tu mkuu. najua utakuwa na ratiba ngumu lakini naomba uipe kipaumbele. ntashukuru sana.
Kabakabana JF-Expert Member Joined Aug 5, 2011 Posts 5,550 Reaction score 1,166 Feb 20, 2012 Thread starter #59 dubu said: mkuu nande pale saa hizi upige picha tuweke kwenye jukwaa la kikubwa. Click to expand... hizo kazi za kina zinduna na kimbweka,na labda nitonye anaweza akasaidia
dubu said: mkuu nande pale saa hizi upige picha tuweke kwenye jukwaa la kikubwa. Click to expand... hizo kazi za kina zinduna na kimbweka,na labda nitonye anaweza akasaidia
S Skype JF-Expert Member Joined Nov 5, 2010 Posts 7,266 Reaction score 1,637 Feb 20, 2012 #60 Kabakabana said: ndo akili yako ipoishia? Click to expand... Msamehe bure, huenda hiyo ndo maana pekee ya neno 'kupenda' aijuayo.
Kabakabana said: ndo akili yako ipoishia? Click to expand... Msamehe bure, huenda hiyo ndo maana pekee ya neno 'kupenda' aijuayo.