Let me tell you one thing: Unawependa ndugu zako bali rafiki zako unawafurahia. Mungu ndio anatupenda sisi wanadamu, no matter tunamkosea vipi lakini upendo wake kwetu bad upo. Wengine tunafurahiana tu na si kupendana, unadai unampenda mkeo kwa sababu anakufurahia, anakupikia, anakuliwaza wakati wa huzuni, haya asipoyaonyesha upendo unaisha na unatafuta nyumba ndogo ili uyapate. Upendo hauna kikomo, sie twafurahiana na hatupendani!