Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,724
- 9,188
Ndugu wengi ni watu wa lawama, hawana jema jamani. Hawawezi kukufanyia zuri na zuri utakalowafanyia wewe hawana shukrani nalo.
Wengi ni wasiopenda kuona unafanikiwa hata sijui kwanini.
Kuwasiliana au kuonana ni hadi kwenye matukio eg msiba au harusi.
Wale waliofanikiwa huwa ni wenye kujisikia na wale wenye hali za chini hujiona dhaifu.
Jamani mnafanyaje kukabiliana na ndugu wa aina hizo?
Wengi ni wasiopenda kuona unafanikiwa hata sijui kwanini.
Kuwasiliana au kuonana ni hadi kwenye matukio eg msiba au harusi.
Wale waliofanikiwa huwa ni wenye kujisikia na wale wenye hali za chini hujiona dhaifu.
Jamani mnafanyaje kukabiliana na ndugu wa aina hizo?