Teslarati
JF-Expert Member
- Nov 21, 2019
- 1,735
- 6,793
Hakuna salamu, nimekasirika sana
Yaan watu tunapambana kuishi bado tunaumwa maugonjwa ya ajabu yasio na tiba, tuna michepuko 3 na ndoa 2, january (njaanuaru) inakuja watoto lazima waende shule, kabla ya njanuary hizi sherehe wategemezi wote wanakuangalia ww. Halafu unapambana nayo yote unakuja kukutana na mpuuzi mmoja anajaza server za JF kusema anataka kujinyonga. Hayo maisha si ukawagawie basi wanaopambania maisha yao huko ICU?
Wana JF mkiwaendekeza hawa vijana wapuuzi mnaenda kufanya swala la kuongelea kujiua liwe kawaida.
Na nashauri Moderator nyuzi za kujiua zipigwe ban sababu hata facebook ilizuka tabia ya watu kujinyonga insta/fb live lkn system zao sikuhizi zinazuia suicidal content, na hio ndio standard ya hizi social media sites, suicidal contents haziruhusiwi hivyo zisiendekezwe.
Cc Maxence Melo Moderator
Yaan watu tunapambana kuishi bado tunaumwa maugonjwa ya ajabu yasio na tiba, tuna michepuko 3 na ndoa 2, january (njaanuaru) inakuja watoto lazima waende shule, kabla ya njanuary hizi sherehe wategemezi wote wanakuangalia ww. Halafu unapambana nayo yote unakuja kukutana na mpuuzi mmoja anajaza server za JF kusema anataka kujinyonga. Hayo maisha si ukawagawie basi wanaopambania maisha yao huko ICU?
Wana JF mkiwaendekeza hawa vijana wapuuzi mnaenda kufanya swala la kuongelea kujiua liwe kawaida.
Na nashauri Moderator nyuzi za kujiua zipigwe ban sababu hata facebook ilizuka tabia ya watu kujinyonga insta/fb live lkn system zao sikuhizi zinazuia suicidal content, na hio ndio standard ya hizi social media sites, suicidal contents haziruhusiwi hivyo zisiendekezwe.
Cc Maxence Melo Moderator