Sijakusoma mkuu..mkuu huyu Pasco hajaomba radhi ila "kaomba radhi" msiingie mkenge.....
marytina, hili pia nililitegemea ndio maana nikasema, natumaini msamaha wangu utaeleweka lakini sio lazima ukubalike. Unapofanya kosa na ukatambua ni kosa, unaomba msamaha na liability yako inaishia hapo, it is up to anayeombwa msamaka kukusamehe au la, ndi maana nikakubali, kuna watakao kubali na kusamehe, na kuna ambao hawatakubali na hatawasamehe ila mimi nimetimiza wajibu wangu.content ya hii sredi haioneshi kuwa unaomba msamaha bali unazidi kung'ang'aniza lilelile. Naona umeanzisha hii sredi kujaribu kutushawishi kivingine tuamin jambo ambalo halikufanywa na Mbowe. Hulazimishwi kuomba bali tulijaribu kukuelekeza umeelewa ILA UNAGOMA KURIDHIA.
content ya hii sredi haioneshi kuwa unaomba msamaha bali unazidi kung'ang'aniza lilelile. Naona umeanzisha hii sredi kujaribu kutushawishi kivingine tuamin jambo ambalo halikufanywa na Mbowe. Hulazimishwi kuomba bali tulijaribu kukuelekeza umeelewa ILA UNAGOMA KURIDHIA.
Mkuu sana Mhe. Regia Mtema,
Heshima mbele!.
Kwanza samahani kuchelewa kuomba radhi, nilikuwa nasubiri ile hansard uliyoahidi, ili nijiridhishe, nilimwelewa vibaya Mhe. Mbowe.
Baada ya kusoma michango mingi humu kuhusu hoja hii, nimeona sina sababu ya kuendelea kuisubiria hansard, hivyo ninatumia fursa hii kwa kusema yafuatayo,
Mimi Pasco wa JF, "Nawaomba Radhi CHADEMA, Nilimwelewa Vibaya Mhe. Mbowe".
Nawaomba radhi kwa dhati, wale wote waliofedheheshwa na uelewa wangu.
Kwa vile sisi ni binadamu na tumeumbwa tofauti, hivyo tofauti za uelewa kati ya mtu na mtu ni kawaida, hakuna binadamu mkamilifu, kufanya makosa ni jambo la kawaida na kuombana misamaha pale mnapotofautiana pia ni kawaida, hivyo sanahani sana.
Msamaha huu nimeufungulia thread inayojitegemea, ili niweke na chanzo cha uelewa wangu huo uliopelekea kumwelewa vibaya Mhe. Mbowe hivyo kutoa fursa kwa Chadema, kutuelewesha vizuri kusije jitokeza mikanganyiko kama hii kwa siku za usoni.
Utangulizi
Baada ya kumalizika Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, kilitangazwa kutokuridhishwa kwake na jinsi zoezi zima la uchaguzi lilivyoendeshwa, hivyo wakakataa kuyakubali matokeo ya kura za urais na kutangaza rasmi kutomtambua mshindi.
Binafsi sikukubaliana na msimamo wa Chadema na niliandika humu jamvini kwanini sikukubaliana nao. Tangu mwanzo wa mchezo, Chadema wakijua wazi, the playing ground is not level, lakini walikubali kuingia uwanjani na kupambana hivyo hivyo, huku mmoja ameshika mpini, ungetegemea nini?.
Chadema walikubali kutia saini kanuni za mchezo, hivyo sio busara kuja kukiuka kanuni hizo kwa kukataa matokeo, ndio maana kwa maoni yangu nilisema, the right forum kwa Chadema, kuyakataa matokeo, ni kufika siku yanatangazwa, kususa kusaini na kuwaeleza Watanzania sababu, ikiwemo kutomtabua rais, unamweleza pale pale in front of his face, na jamii yote ya kimataifa.
Kwa kutomtambua rais, Chadema walitoka nje siku ile rais akilihutubia Bunge.
Kilichotokea
Ulipowadia wakati wa kuchangia hotuba ya rais, waliosusa kuisikiliza, nilitegemea Chadema, wangenyamaza kimya, kuonyesha kuendelea kumsusia rais, au wangechangia bila kumtaja ili kuonye kutomtambua.
Kitendo cha Mwenyekiti wa Chadema, kusimama, akaanza kumsifu na kumshukuru na kumpongeza rais Kikwete, mimi nilichanganyikiwa na kuhamanika kwa furaha nikiamini sasa Chadema wanamtambua rais Kikwete ndipo nikapost thread hii
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...li-yaishe-yamtambua-rais-yampongeza-rais.html
Kwenye thread yangu hiyo, chini niliweka angalizo hili
Angalizo!.
Kuna kitu kinaitwa expressly na impliedly!
Expressly ni kwa Mbowe kutangaza kwamba sasa Chadema inamtambua Rais!
Impliedly ni pale Mbowe alipompongeza rais, akamsifu na kumshukuru na kuonyesha spirit ya reconciliation.
mkubali msikubali, Chadema imemtambua Rais JK impliedly na wamekubali yaishe zaidi ya hapo ni ubishi tuu, vinginevyo Mhe. Mbowe afanye Press Conference afafanue na kukazia kutomtambua JK!
Pamoja na angalizo hilo, haikusaidia watu kunielewa ni mpaka Mbunge wa Chadema, Mhe. Regia Mtema aliponitaka kuomba msamaha kupitia thread hii
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...i-chadema-umemwelewa-vibaya-hon-mbowe-14.html
Hitimisho
Mwanzo niliamini kwa vile Chadema, walitamka expressly kuwa hawamtambua JK, kubadilika na kutamkata tena expressly kuwa sasa wanamtambua itakuwa ni kugeuka nyuma na kugeuka jiwe la chumvi, hivyo niliamini wamechukua njia ya ustaarabu zaidi kwa kutosema expressly wamemtambua, bali impliedly kuonyesha kumtambua kwa kauli na matendo na hili ndilo kosa langu, nakubali kosa na naomba msamaha wa dhati.
Natumaini msamaha wangu emeeleweka japo sio lazima ukubalike, tuendelee kuchambua hoja mbalimbali humu jamvini kwa maslahi ya taifa.
Natanguliza shukrani.
Wenu
Pasco.
Angalizo: Pasco wa JF siyo mwanachama wala mshabiki wa chama chochote cha siasa, ila ni mkereketwa wa demokrasia ya kweli ndani ya Bunge. Principle ya uchangiaji wangu ni kuongea nothing but the truth kwa kuzingatia truthfulness, accuracy, objectivity, impartiality, fairness, na balance nikiweka mbele maslahi ya taifa.
Hii sentensi ndo ilovuruga uombaji radhi wote! Ni sawa na kusema naomba radhi kwa sababu that's what is expected of me ili kuishi kwa amani JF lakini mimi ndie ambae watu walishindwa kumuelewaPamoja na angalizo hilo, haikusaidia watu kunielewa
Mapambano, kwenye kutomtambua rais, kuna mambo matatu, Disown, Disregard na Disrespect.Pasco, mwenye macho haambiwi ona...Huwezi kumuita mtu rais kama sio rais au mke wangu kama sio mke wako. Binafsi sijaona ulipokosea..
Pasco, mwenye macho haambiwi ona...Huwezi kumuita mtu rais kama sio rais au mke wangu kama sio mke wako. Binafsi sijaona ulipokosea..
Kauli ya Mhe. Mbowe, ili defeat hoja hizo zote tatu, kwanza ilionyesha wamekubali kuwa JK ndiye rais, hata kama wao hawamtambua, this is fact, rais ndiye yeye na ile kuapishwa tuu, ndio kumlegalize, wether unamtambua, unatambua uwepo wake, its immateria, iwepo wa rais is a fact na yupo, no one can deny that.
Walibakiza mambo mawili, kumdis regard na kum dis respect na hapa ndipo na mimi nilipochanganya, kwa kumshukuru na kumpongeza, nilidhani ndio regarding na kumrespect, but I was wrong.
mbowe anamtambua jk kama rais wa jmt, ila dr.slaa yeye hamtambui jk kama rais wa jmt. Matendo na kauli za hawa viongozi 2 wakuu wa cdm yanadhihirisha wazi kukinzana kwao, mkubali au mkatae ukweli unauma japo mambo yako wazi tena sana, peupe hadharani! Natoa changamoto kwa mbowe na dr.slaa, kama wanabisha jambo hili basi waitishe pc kwa pamoja, na watoe kauli yao kuthibitishia umma wa tz msimamo wao wa kutomtambua jk kama rais wa jmt.
Mkuu sana Mhe. Regia Mtema,
Heshima mbele!.
Kwanza samahani kuchelewa kuomba radhi, nilikuwa nasubiri ile hansard uliyoahidi, ili nijiridhishe, nilimwelewa vibaya Mhe. Mbowe.
Baada ya kusoma michango mingi humu kuhusu hoja hii, nimeona sina sababu ya kuendelea kuisubiria hansard, hivyo ninatumia fursa hii kwa kusema yafuatayo,
Mimi Pasco wa JF, "Nawaomba Radhi CHADEMA, Nilimwelewa Vibaya Mhe. Mbowe".
Nawaomba radhi kwa dhati, wale wote waliofedheheshwa na uelewa wangu.
Kwa vile sisi ni binadamu na tumeumbwa tofauti, hivyo tofauti za uelewa kati ya mtu na mtu ni kawaida, hakuna binadamu mkamilifu, kufanya makosa ni jambo la kawaida na kuombana misamaha pale mnapotofautiana pia ni kawaida, hivyo sanahani sana.
Msamaha huu nimeufungulia thread inayojitegemea, ili niweke na chanzo cha uelewa wangu huo uliopelekea kumwelewa vibaya Mhe. Mbowe hivyo kutoa fursa kwa Chadema, kutuelewesha vizuri kusije jitokeza mikanganyiko kama hii kwa siku za usoni.
Utangulizi
Baada ya kumalizika Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, kilitangazwa kutokuridhishwa kwake na jinsi zoezi zima la uchaguzi lilivyoendeshwa, hivyo wakakataa kuyakubali matokeo ya kura za urais na kutangaza rasmi kutomtambua mshindi.
Binafsi sikukubaliana na msimamo wa Chadema na niliandika humu jamvini kwanini sikukubaliana nao. Tangu mwanzo wa mchezo, Chadema wakijua wazi, the playing ground is not level, lakini walikubali kuingia uwanjani na kupambana hivyo hivyo, huku mmoja ameshika mpini, ungetegemea nini?.
Chadema walikubali kutia saini kanuni za mchezo, hivyo sio busara kuja kukiuka kanuni hizo kwa kukataa matokeo, ndio maana kwa maoni yangu nilisema, the right forum kwa Chadema, kuyakataa matokeo, ni kufika siku yanatangazwa, kususa kusaini na kuwaeleza Watanzania sababu, ikiwemo kutomtabua rais, unamweleza pale pale in front of his face, na jamii yote ya kimataifa.
Kwa kutomtambua rais, Chadema walitoka nje siku ile rais akilihutubia Bunge.
Kilichotokea
Ulipowadia wakati wa kuchangia hotuba ya rais, waliosusa kuisikiliza, nilitegemea Chadema, wangenyamaza kimya, kuonyesha kuendelea kumsusia rais, au wangechangia bila kumtaja ili kuonye kutomtambua.
Kitendo cha Mwenyekiti wa Chadema, kusimama, akaanza kumsifu na kumshukuru na kumpongeza rais Kikwete, mimi nilichanganyikiwa na kuhamanika kwa furaha nikiamini sasa Chadema wanamtambua rais Kikwete ndipo nikapost thread hii
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...li-yaishe-yamtambua-rais-yampongeza-rais.html
Kwenye thread yangu hiyo, chini niliweka angalizo hili
Angalizo!.
Kuna kitu kinaitwa expressly na impliedly!
Expressly ni kwa Mbowe kutangaza kwamba sasa Chadema inamtambua Rais!
Impliedly ni pale Mbowe alipompongeza rais, akamsifu na kumshukuru na kuonyesha spirit ya reconciliation.
mkubali msikubali, Chadema imemtambua Rais JK impliedly na wamekubali yaishe zaidi ya hapo ni ubishi tuu, vinginevyo Mhe. Mbowe afanye Press Conference afafanue na kukazia kutomtambua JK!
Pamoja na angalizo hilo, haikusaidia watu kunielewa ni mpaka Mbunge wa Chadema, Mhe. Regia Mtema aliponitaka kuomba msamaha kupitia thread hii
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...i-chadema-umemwelewa-vibaya-hon-mbowe-14.html
Hitimisho
Mwanzo niliamini kwa vile Chadema, walitamka expressly kuwa hawamtambua JK, kubadilika na kutamkata tena expressly kuwa sasa wanamtambua itakuwa ni kugeuka nyuma na kugeuka jiwe la chumvi, hivyo niliamini wamechukua njia ya ustaarabu zaidi kwa kutosema expressly wamemtambua, bali impliedly kuonyesha kumtambua kwa kauli na matendo na hili ndilo kosa langu, nakubali kosa na naomba msamaha wa dhati.
Natumaini msamaha wangu emeeleweka japo sio lazima ukubalike, tuendelee kuchambua hoja mbalimbali humu jamvini kwa maslahi ya taifa.
Natanguliza shukrani.
Wenu
Pasco.
Angalizo: Pasco wa JF siyo mwanachama wala mshabiki wa chama chochote cha siasa, ila ni mkereketwa wa demokrasia ya kweli ndani ya Bunge. Principle ya uchangiaji wangu ni kuongea nothing but the truth kwa kuzingatia truthfulness, accuracy, objectivity, impartiality, fairness, na balance nikiweka mbele maslahi ya taifa.
Mkuu Pasco nimekupata vizuri sana.Nimesoma between lines na kukulewa.Binafsi nimefurahi sana na kufarijika sana kwa hatua hii.Kwa hakika wewe ni mwanaume tena wa shoka.Ni nadra sana kwa watu hasa wanaue kuomba msahamaha iwe kwa kweli au kwa kebehi huwa ni ngumu,nakusifu sana na kukupongeza sana.Hata kama umejitahidi kujitetea lakini kitendo cha kutamka naomba radhi mimi kwangu ni msamaha tosha.Hata heading tu inatosha kujiridhisha kwamba umeomba radhi.
Narudia tena nimefurahishwa na maamuzi yako kwani msingi wa mimi kuanzisha sredi hile ilikuwa ni kuondoa dhana potofu iliyojengwa kupitia sredi yako.Kama ulivyosema tunauelewa tofauti,na katika hili bado misimamo ya watu inatofautiana kutaokana na uelewa.Mazingira ya siasa Tanzania ni magumu sana hivyo ukiwa nje ya siasa ni ngumu kuelewa kwa undani,tulioko ndani tunafahamu na kuelewa vizuri.Uhondo wa ngoma ni uingie ucheze sio kutazama tu. Na kwa bahati mbaya sana watu wengi hasa tulioko nje ya siasa au tunaofuatilia siasa za vitabuni huwa tunadakia sentensi moja moja bila kukaa na kutafakari kwa kina na mazingira yenyewe ya kisiasa na ukweli halisi.
Mkuu kwa sredi yako hata wale wanoishia kusoma vichwa vya habari peke yake ujumbe umefika.Tupo kwenye line moja.
Thank You once again.
Aluta Continua
umeona hizo alama alizoweka kwenye kichwa cha thread?Sijakusoma mkuu..
Mkuu Pasco nimekupata vizuri sana.Nimesoma between lines na kukulewa.Binafsi nimefurahi sana na kufarijika sana kwa hatua hii.Kwa hakika wewe ni mwanaume tena wa shoka.Ni nadra sana kwa watu hasa wanaue kuomba msahamaha iwe kwa kweli au kwa kebehi huwa ni ngumu,nakusifu sana na kukupongeza sana.Hata kama umejitahidi kujitetea lakini kitendo cha kutamka naomba radhi mimi kwangu ni msamaha tosha.Hata heading tu inatosha kujiridhisha kwamba umeomba radhi.
Narudia tena nimefurahishwa na maamuzi yako kwani msingi wa mimi kuanzisha sredi hile ilikuwa ni kuondoa dhana potofu iliyojengwa kupitia sredi yako.Kama ulivyosema tunauelewa tofauti,na katika hili bado misimamo ya watu inatofautiana kutaokana na uelewa.Mazingira ya siasa Tanzania ni magumu sana hivyo ukiwa nje ya siasa ni ngumu kuelewa kwa undani,tulioko ndani tunafahamu na kuelewa vizuri.Uhondo wa ngoma ni uingie ucheze sio kutazama tu. Na kwa bahati mbaya sana watu wengi hasa tulioko nje ya siasa au tunaofuatilia siasa za vitabuni huwa tunadakia sentensi moja moja bila kukaa na kutafakari kwa kina na mazingira yenyewe ya kisiasa na ukweli halisi.
Mkuu kwa sredi yako hata wale wanoishia kusoma vichwa vya habari peke yake ujumbe umefika.Tupo kwenye line moja.
Thank You once again.
Aluta Continua