Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,185
- 22,587
Hii nchi tunafanywa vichaaa
Ngoja kwanza wewe,tunamalizia kufungafunga,mbona una haraka hivyo...?NAWAKUMBUSHA TU mwisho wa matengenezo,mgao na kukatika kwa umeme Tanzania na itabaki historia ni leo
Tanesco walitangaza siku 10 za mgao na matengenezo yaani kuanzia tarehe 01/02 hadi tarehe 10/02 kwahiyo leo ndo mwisho wa matengenezo na mgao na walituahidi kuwa baada ya leo kukatika kwa umeme na mgao itabaki kuwa historia
Kwahiyo leo tarehe 10/02 saa 5:59 usiku ndo utakua mwisho wa matengenezo,mgao na kukatika kwa umeme Tanzania na itabaki historia tu
Zanzibar ulikuwa siku moja tuu tar 02/02/22 saa 2 Hadi 11 jioni. Hongereni tanesco.Nashukuru sehemu ninayokaa sikuona Umeme ukikatwa / Mgao wowote ule hivyo niwapongeze sana TANESCO kwa Kutuheshimu na Kutuogopa Watu wa huku niishipo na naomba waendelee hivyo hivyo Kutuogopa na Kutuheshimu kwani Sisi wenye Tanzania yetu na wengine ni Wapangaji tu.
Sawa ngoja tuone kama hawajaja kivingineNAWAKUMBUSHA TU mwisho wa matengenezo,mgao na kukatika kwa umeme Tanzania na itabaki historia ni leo
Tanesco walitangaza siku 10 za mgao na matengenezo yaani kuanzia tarehe 01/02 hadi tarehe 10/02 kwahiyo leo ndo mwisho wa matengenezo na mgao na walituahidi kuwa baada ya leo kukatika kwa umeme na mgao itabaki kuwa historia
Kwahiyo leo tarehe 10/02 saa 5:59 usiku ndo utakua mwisho wa matengenezo,mgao na kukatika kwa umeme Tanzania na itabaki historia tu
Reserved for future applicationsNAWAKUMBUSHA TU mwisho wa matengenezo,mgao na kukatika kwa umeme Tanzania na itabaki historia ni leo
Tanesco walitangaza siku 10 za mgao na matengenezo yaani kuanzia tarehe 01/02 hadi tarehe 10/02 kwahiyo leo ndo mwisho wa matengenezo na mgao na walituahidi kuwa baada ya leo kukatika kwa umeme na mgao itabaki kuwa historia
Kwahiyo leo tarehe 10/02 saa 5:59 usiku ndo utakua mwisho wa matengenezo,mgao na kukatika kwa umeme Tanzania na itabaki historia tu
NAWAKUMBUSHA TU mwisho wa matengenezo,mgao na kukatika kwa umeme Tanzania na itabaki historia ni leo
Tanesco walitangaza siku 10 za mgao na matengenezo yaani kuanzia tarehe 01/02 hadi tarehe 10/02 kwahiyo leo ndo mwisho wa matengenezo na mgao na walituahidi kuwa baada ya leo kukatika kwa umeme na mgao itabaki kuwa historia
Kwahiyo leo tarehe 10/02 saa 5:59 usiku ndo utakua mwisho wa matengenezo,mgao na kukatika kwa umeme Tanzania na itabaki historia tu
AngalizoNAWAKUMBUSHA TU mwisho wa matengenezo,mgao na kukatika kwa umeme Tanzania na itabaki historia ni leo
Tanesco walitangaza siku 10 za mgao na matengenezo yaani kuanzia tarehe 01/02 hadi tarehe 10/02 kwahiyo leo ndo mwisho wa matengenezo na mgao na walituahidi kuwa baada ya leo kukatika kwa umeme na mgao itabaki kuwa historia
Kwahiyo leo tarehe 10/02 saa 5:59 usiku ndo utakua mwisho wa matengenezo,mgao na kukatika kwa umeme Tanzania na itabaki historia tu