Kiherehere
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,806
- 621
Sijaisoma thread yote... nimeiona kama ni upuuzi ule ule.
Anapotuambia anayo orodha ni ujinga KAMA kweli anayo tunataka kuwaona watu wakijibu tuhuma zao sio kujisifia tu mbele za watu. Haya hiyo orodha imemsaidia nini mpaka sasa?? Na ya madawa ya kulevya anaifanyia kazi mwaka wa sita sasa.... Kikwete CHIZI kama machizi wengine tu.
Anapotuambia anayo orodha ni ujinga KAMA kweli anayo tunataka kuwaona watu wakijibu tuhuma zao sio kujisifia tu mbele za watu. Haya hiyo orodha imemsaidia nini mpaka sasa?? Na ya madawa ya kulevya anaifanyia kazi mwaka wa sita sasa.... Kikwete CHIZI kama machizi wengine tu.