Thread nzima umejaza wewe duh! Kwa kweli umevurugwa
Bora rushwa yeyote kuliko hii ya madokta.....kumbe kutibu watu ni ndani ya uwezo wao . Lakini Bado wanataka rushwa. BORA HATA ALIYEUZA TWIGA KULIKO MA DOKTA WA TZ
halafu kulaza wagonjwa wawili wawili kitandani...........
Hivi hizo hela za epa, richmond na wadogo zake si zingetosha kuboresha hospitali??????? Its a shame kuona hata oxygen tmk hana!!!!