Nawaasa wanaotaka kuandamana

Nawaasa wanaotaka kuandamana

Waliondamana Malawi, Kenya, Nigeria... hawakuzijua hizo sheria. Yaani unatwambia tutii sheria kandamizi mpaka mwisho wa dunia? Lini sheria hizo zitabadilishwa?
 
Mkileta ushenzi mwaka huu, tutaandamana mchana kweupe. To hell na sheria zenu kandamizi. Nani huwa naomba ruhusa kuandamana dhidi ya wadhalimu?
 
Ndugu ulioleta hii habari,unawashauri nini watu wanaonyimwa au wanaofanyiwa uhuni na vyombo vya sheria ikiwemo polisi, tume za uchaguzi na hakuna haki inayopatikana wanapoikabili mahakama.

Unawashauri nini wananchi wanapoona masanduku ya kura zlizokwishapigwa yanaingia katika kituo cha kupigia kura wakati hayahusiki.
Unawambia nini mawakala waliokataliwa kuapishwa kwa sababu zisizokubalika
Unawambia nini mawakala watakaotolewa vituoni kwa kutumia polisi kwa sababu za kupangwa

Panga utakavyopanga Je CCM wapo juu ya sheria.

sasa kwa taarifa iliyokuwepo wananchi waliowengi wanapambana na CCM na kama huamini silaha zinazotumika sasa kuwauwa wapinzani ndio hizohizo zitawageukia CCM, hilo ni jambo ambalo lipo approved dunia nzima, halitakuwa geni kufanyika hapa Tanzania,
 
Ati niandamane kwa ajili ya mtu anayeishi ubeligiji

Hata shetani atanicheka

Rais Magufuli akisema tuandamane kuyapinga Mabeberu nitaandamana

Ukamwombe mwizi wa kura kuandamana? Ngoja tuingie mtaani kisha mtuue ili mjue kuchezea sheria za nchi kisa mna madaraka ni makosa. Mtakapotuua ndio mjue kuwa ni mwanzo wa mabadiliko ya kweli.
 
Zanzibar kidooogo wanawezakuingia barabarani (nature haidanganyi, dna za baadhi yao zina ukaribu na kule Yemen) bara hata Lissu mwenyewe hawezi kutia mguu barabarani maana bado ana risasi kwenye uti wa mgongo hivyo akisikia mlio tu wa bunduki, ile risasi ina react wenzake wa nje na kuanza kuuma.
Hakuna mtu bara wa kuingia barabarani hata Mange Kimambi amethibitisha hilo....chapati na supu ya utumbo mtaani vitamu wewe! nani aviache kisa Lissu na Amsterdam?

Ndio maana mnachezea uchaguzi maana mnajua hakuna wa kuingia mtaani? Kesha ukiomba hilo litokee, lakini ikiwa kinyume chake, hawa wanaoamrisha huu wizi wa kura watajuta maisha yao yote.
 
Mkuu, uzuri hawa Polisi na wana CCM tunaishi nao Mtaani. Tutamalizana nao, wata fikisha Ujumbe kwa wengine tuna hitaji Haki ktk Uchaguzi. Sheria mmetunga wenyewe na kuzipitisha zikiwa ni chungu kwenu hamzitaki, fuateni Sheria tumechoka kutawaliwa na Watawala ambao hata hatukuwachagua.
 
Ndio maana mnachezea uchaguzi maana mnajua hakuna wa kuingia mtaani? Kesha ukiomba hilo litokee, lakini ikiwa kinyume chake, hawa wanaoamrisha huu wizi wa kura watajuta maisha yao yote.

Kabisa, labda walale Vituo vya Polisi na Familia zao.
 
1. Sadam Hussein.
2. Gadaffi

..... the list goes on———
 
Naona kipengele F ama fafafa mzee baba wa Chato alishakivunja toka ameingia ikulu lakini yupo anadunda.

Hata hao nao wanadunda tu.

Tendeni haki. Fanyeni haki. Wekeni uhuru. Acheni wizi.

Njia itakuwa na amani.
 
Zanzibar kidooogo wanawezakuingia barabarani (nature haidanganyi, dna za baadhi yao zina ukaribu na kule Yemen) bara hata Lissu mwenyewe hawezi kutia mguu barabarani maana bado ana risasi kwenye uti wa mgongo hivyo akisikia mlio tu wa bunduki, ile risasi ina react wenzake wa nje na kuanza kuuma.
Hakuna mtu bara wa kuingia barabarani hata Mange Kimambi amethibitisha hilo....chapati na supu ya utumbo mtaani vitamu wewe! nani aviache kisa Lissu na Amsterdam?
Wewe moumbavu, subiri uone. Ibeni kura muone. Usidhani mwaka juzi nisawa na mwaka huu people grow and Change.
Ibeni kura ndo mtajifunza.

Si mlizema mumeshaua CHADEMA, mkafanya kampeni wenyewe kwa miaka mitano, hii miezi miwili ya chadema ambaya na ninyi bado mpo mkitumia rasilimali zote za serikali mbona inawatesa?
 
Back
Top Bottom