GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,646
- 109,032
Hakikisha uwe umeshamaliza kula huko huko kwako utokako au unakodoeaga kila siku ndiyo uje katika shughuli ya mwanangu.
Na ukija shughulini kwangu vinywaji ni mwendo tu wa juice za u-fresh kwa kwenda mbele kwa wageni waalikwa huku bia moja mkiwa mnashea watu watatu.
Kuhusu nyimbo ambazo nimemuomba Dj wangu awe anazipiga (tena akizirudia rudia) ni hii mpya ya Ney wa Mitego iliyofungiwa na wanoko TCRA na nyimbo zote mpya za Roma Mkatoliki alizozitunga kuanzia tarehe 17 Machi, 2021. Hivyo kama huzipendi ni bora hata usije tu shughulini kwangu.
Mwisho katika hii mhughuli ya Mwanangu GENTAMYCINE Junior sitaki watu wa makabila ya Wahaya, Wanyiramba, Waha, Wanyaturu, Warangi, Wakerewe na Wanyamwezi waje kwani hawana hadhi za kuhudhuria sherehe kubwa na za kifahari za Wazanaki (watu kutoka Mkoa wa Mashujaa, Werevu na Wababe kama Vladmir Putin) wa Mara (Musoma).
Jirani yangu Mbezi Beach, jirani na baa tunayogombea mabaamedi wazuri 24/7 ya Sinde Bujibuji Simba Nyamaume ni matumaini yangu makubwa mualiko umeupata na tutakuwa pamoja kuanzia mchana wa baade Saa 6.
Na mkija shughulini mjikite tu kwa yaliyowaleta siyo muanze kupeleleza/kudadisi GENTAMYCINE yuko wapi au ndiyo yupi kwani hamtanijua hata mfanyeje kwakuwa kifa Kuu niliyonayo ni kuwa kama kinyonga ila ulipo jua nami nipo.
Karibuni nyote tu na ninawapenda.
Na ukija shughulini kwangu vinywaji ni mwendo tu wa juice za u-fresh kwa kwenda mbele kwa wageni waalikwa huku bia moja mkiwa mnashea watu watatu.
Kuhusu nyimbo ambazo nimemuomba Dj wangu awe anazipiga (tena akizirudia rudia) ni hii mpya ya Ney wa Mitego iliyofungiwa na wanoko TCRA na nyimbo zote mpya za Roma Mkatoliki alizozitunga kuanzia tarehe 17 Machi, 2021. Hivyo kama huzipendi ni bora hata usije tu shughulini kwangu.
Mwisho katika hii mhughuli ya Mwanangu GENTAMYCINE Junior sitaki watu wa makabila ya Wahaya, Wanyiramba, Waha, Wanyaturu, Warangi, Wakerewe na Wanyamwezi waje kwani hawana hadhi za kuhudhuria sherehe kubwa na za kifahari za Wazanaki (watu kutoka Mkoa wa Mashujaa, Werevu na Wababe kama Vladmir Putin) wa Mara (Musoma).
Jirani yangu Mbezi Beach, jirani na baa tunayogombea mabaamedi wazuri 24/7 ya Sinde Bujibuji Simba Nyamaume ni matumaini yangu makubwa mualiko umeupata na tutakuwa pamoja kuanzia mchana wa baade Saa 6.
Na mkija shughulini mjikite tu kwa yaliyowaleta siyo muanze kupeleleza/kudadisi GENTAMYCINE yuko wapi au ndiyo yupi kwani hamtanijua hata mfanyeje kwakuwa kifa Kuu niliyonayo ni kuwa kama kinyonga ila ulipo jua nami nipo.
Karibuni nyote tu na ninawapenda.