Mtaalamu wa mambo
Member
- Nov 23, 2020
- 58
- 96
Mambo vipi wadau
Mimi kijana wa makamo 23 years
Nina aleji ya kupenda wanawake watu wazima hususani walio single kuanzia 40 na kuendelea
Wengi wao huwa wananikata haja zangu haraka nanikishafanya nao mapenzi basi nalizika tofauti na vibinti vya umri wangu kuna mmoja nilimpenda hadi nikawa nisipomuona kwa muda nahisi kuumwa tulipanga vizuri nimtambulishe kwetu tufunge ndoa ila akanigomea aise nilikesha nalia hadi siku alipokuja kuniambia hawezi kuwa na Mimi kwani anaogopa maneno ya watu basis bwana nilienda nae kinyonge hivyo hivyo hadi aliponiacha rasmi 2020 kwa madai kuwa anataka alee wanae iwapo bado nampenda sana.
Wanawake wa umri wangu huwa sina hamu nao kabisa
Mimi kijana wa makamo 23 years
Nina aleji ya kupenda wanawake watu wazima hususani walio single kuanzia 40 na kuendelea
Wengi wao huwa wananikata haja zangu haraka nanikishafanya nao mapenzi basi nalizika tofauti na vibinti vya umri wangu kuna mmoja nilimpenda hadi nikawa nisipomuona kwa muda nahisi kuumwa tulipanga vizuri nimtambulishe kwetu tufunge ndoa ila akanigomea aise nilikesha nalia hadi siku alipokuja kuniambia hawezi kuwa na Mimi kwani anaogopa maneno ya watu basis bwana nilienda nae kinyonge hivyo hivyo hadi aliponiacha rasmi 2020 kwa madai kuwa anataka alee wanae iwapo bado nampenda sana.
Wanawake wa umri wangu huwa sina hamu nao kabisa