Nauza vocha za TTCL

Nauza vocha za TTCL

Joined
Jan 6, 2018
Posts
39
Reaction score
34
Husika na kichwa cha habari.. Nilinunua line ya ttcl na nikawa naitumia mtandao ulikuwa unasoma vizuri lile eneo nililokuwa naishi . sasa nimehama lile eneo na huku nilipo ttcl ni majanga mtandao mda wote emergency ..nilinunua vocha kama za elfu 30 yoyote mwenye kuzihitaji aje pm
 
Kuna discount, au bei kama hapa dukani kwa mangi?
 
Kaka siku hizi wameboresha huduma
vocha zipatikana kwa kutumia mitandao mingine

· M-PESA *150*00#
4. Lipa kwa Mpesa
3. Chagua kwenye orodha
2.Manunuzi
9.Zaidi
2.TTCL Voice
1. Weka namba ya Account
─ ingiza namba ya Simu 0738 xxx xxx
─ Weka kiasi
─ Weka namba ya Siri


· AIRTEL MONEY *150*60#
5. Lipia bili
2. Chagua kwenye orodha
3. Manunuzi
6.TTCL
─ Ingiza kiasi cha Pesa…xxx…
─ Ingiza namba ya kumbumbu 0738 xxx xxx
─ Ingiza namba ya siri kulipia

· Tigo Pesa *150*01#

2 Tigo shop- Muda wa maongezi
7. Mitandao mengine
4.TTCL
1. Weka kumbukumbu namba
─ 0738 xxx xxx
─ Ingiza kiasi
─ Ingiza namba ya siri

Ok
 
Kaka siku hizi wameboresha huduma
vocha zipatikana kwa kutumia mitandao mingine

· M-PESA *150*00#
4. Lipa kwa Mpesa
3. Chagua kwenye orodha
2.Manunuzi
9.Zaidi
2.TTCL Voice
1. Weka namba ya Account
─ ingiza namba ya Simu 0738 xxx xxx
─ Weka kiasi
─ Weka namba ya Siri


· AIRTEL MONEY *150*60#
5. Lipia bili
2. Chagua kwenye orodha
3. Manunuzi
6.TTCL
─ Ingiza kiasi cha Pesa…xxx…
─ Ingiza namba ya kumbumbu 0738 xxx xxx
─ Ingiza namba ya siri kulipia

· Tigo Pesa *150*01#

2 Tigo shop- Muda wa maongezi
7. Mitandao mengine
4.TTCL
1. Weka kumbukumbu namba
─ 0738 xxx xxx
─ Ingiza kiasi
─ Ingiza namba ya siri

Ok
Safi sana, marketing strategy
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom