projectman
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 349
- 484
Kiwanja kinauzwa mbezi malamba, king’azi ukubwa ni 20 kwa 25 Bei ni million 8 piga simu 0693300971
So kiwanja chako ikawaje??bado unacho??Vp kuhusu uaminifu wenu maana kuna kampn xta itaja nli nlipa uwanja huko goba njia nne mwsho wa siku waka sema viwanja vina badilishwa kufuatilia office zao zime hama na jina wame badili vp kwa upande wenu
Uzuri wake nini?Madale pazuri sana,
Madale pazuri sana,
Pole sana mkuu kwa changamoto iliyotokea. Viwanja vyetu vimepimwa na unakabidhiwa document zote pamoja na hati yako ukikamilisha malipo. Nipigie mkuu 0753288167Vp kuhusu uaminifu wenu maana kuna kampn xta itaja nli nlipa uwanja huko goba njia nne mwsho wa siku waka sema viwanja vina badilishwa kufuatilia office zao zime hama na jina wame badili vp kwa upande wenu