Kuna vitu hivi;
-Sofa moja la watu wawili
-Meza ndogo
-Kitanda na godoro
-Subwoofer ndogo, full na kila kitu chake hadi box
-Dressing table
-Decoder na ungo(dstv)
Vyote nafanya 600,000 tu bei ya hasara maana nataka kuhama, chumba pia kipo kwa atakayehitaji utaongea na mwenye nyumba(chumba na sebule na choo ndani). Unaweza kuchukua kimoja wapo au viwili tutaongea bei ukiviona.
NB: Sina smartphone kwasasa nashindwa kupiga picha ila kwamaelezo zaidi njoo kigamboni uvione .
-Sofa moja la watu wawili
-Meza ndogo
-Kitanda na godoro
-Subwoofer ndogo, full na kila kitu chake hadi box
-Dressing table
-Decoder na ungo(dstv)
Vyote nafanya 600,000 tu bei ya hasara maana nataka kuhama, chumba pia kipo kwa atakayehitaji utaongea na mwenye nyumba(chumba na sebule na choo ndani). Unaweza kuchukua kimoja wapo au viwili tutaongea bei ukiviona.
NB: Sina smartphone kwasasa nashindwa kupiga picha ila kwamaelezo zaidi njoo kigamboni uvione .