johnhance
JF-Expert Member
- Jul 9, 2016
- 1,769
- 2,108
nilitegemea bonge la povu apa kutoka kwa Islam,Ushambenga tu! Kama anaolewa je
nilitegemea bonge la povu apa kutoka kwa Islam,Ushambenga tu! Kama anaolewa je
Mkuu mwanaume anaolewa?Ushambenga tu! Kama anaolewa je
kitanda ni 5 kwa 6.Kitanda kina ukubwa gan....??
HahahaaAlaf ukifanikiwa kuuza njoo nikuuzie smart phone
MhNataka hiko chumba kipo wapi
Una mume?Mpendwa muuza vitu mimi nahitaji chumba
Kigamboni kubwa, wakuu mimi nataka chumba maeneo ya magomeni au ubungo
Vipi maji yako hapo hapo? Na hiyo kodi na maji humo humo au?Mkuu karibu.
Kipo ni self Tsh70,000 kwa mwezi,malipo miezi sita (Ubungo Riverside)
0655744410
Vipi maji yako hapo hapo? Na hiyo kodi na maji humo humo au?
Mkuu bado kipo?kitanda
kitanda ni 5 kwa 6.
Mkuu tupiamo kapicha...tuna hofu ya kufika kigamboni na ukakuta jodolo kama slesi..
Rubi unafurahisha sana,wewe ni bonge la mkorofiKumbe na kabati la vyombo unalo mkuu? Mbona lenyewe huuzi?
Cha udongoNataka hiko chumba kipo wapi