Hossam
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 3,548
- 2,181
Mbona vimchakaa sana aiseeNauza kitanda na godoro lake6x4 180,000/=
![]()
Nauza meza ya miguu ya chuma na viti 3 kimoja ni office chair 150,000/=
![]()
Nauza kochi kubwa la watu 3 bei 130,000/=
![]()
Feni 40,000/=
![]()
stand ya kutundikia vitu, kapeti la manyoya, na kitenga cha kuwekea vitu bei vyote 80,000/=
![]()
![]()
![]()
Pia kuna jaba moja la kuhifadhia maji litre 160 bei 30,000/=
Karibuni tabata, anyehitaji anichek hapa 0626852910 punguzo lipo.
Karibuni.