Nauza Vifaranga wa Kienyeji

african2010

Member
Mar 31, 2010
98
12
Nauza vifaranga vya siku 14 hadi siku 28 kwa Tshs 2000 na siku kuanzia 28 na kuendelea kwa alfu 3,000.
Nitafute kwa simu Na. 0772-964436



Asanteni
 
Nauza vifaranga vya siku 14 hadi siku 28 kwa Tshs 2000 na siku kuanzia 28 na kuendelea kwa alfu 3,000. Nitafute kwa simu Na. 0772-964436
Asanteni
mkuu, unapatikana maeneo au mkoa gani?, na hao kuku ni kabila/aina gani?
 
Hao vifaranga wa kienyeji mbegu yake ni ya asili yya wapi,kwa maana kuna wale wanapandikizwa na majogoo kutoka Pemba,wengine kuchi wa singida na wengine wa Malawi.Je wale mchanganyiko wa kienyeji na kisasa wanapatikana?
 
Vifaranga ni wa mayai ya Malawi, mimi nipo Dar, ukihitaji nakuletea popote utakapokuwepo Dar, kuanzia kuku watano. Asante. Hii biashara inalipa kama ni mtunzaji mzuri wa vifaranga, vifaranga hivyi vimechanjwa na chanjo ya Newcastle.
 
Mimi napenda walio na umri wa siku moja hadi tatu ili nianze nao mimi mwenyewe. Je naweza kupata ?
 
Simu sasa inapatkana, Poleni kwa usumbufu uliojitokeza, vifaranga wapo wa aina zote, Nakushauri uanze nao kidogo kwa kuwa wakiwa wadogo sana wanahitaji huduma kama ya vifaranga wa kisasa, karibuni wote
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom