Kifaranga ndo 50k mkuu[emoji1] [emoji1] , hawa Kuku sijui kwann huwaga wana bei namna hiiHao wa kwny picha ni bei gani? Au ndo 50K ?
Wananyama nyingi sana, manyoya ni kidogo japo kwa umbo unaweza ukaona ni mdogo.Kifaranga ndo 50k mkuu[emoji1] [emoji1] , hawa Kuku sijui kwann huwaga wana bei namna hii
Mmmh nyama nyingi tu basi? Hapana itakuwa kuna sababu nyingineWananyama nyingi sana, manyoya ni kidogo japo kwa umbo unaweza ukaona ni mdogo.
Mara paa kunguru nae kageuka Kunguru-KuchiMara paah,nimenunua kifaranga halafu kunguru kakiiba. Nitamkimbiza popote atakapoelekea hata kama nitamkosa kifaranga,nahakikisha namuua huyo kunguru
Unakodisha jogoo la kupandishia tetea?Namba ya simu pls...kama hutajali.
mmoja aliyekomaa anafikia uzito gani?Wananyama nyingi sana, manyoya ni kidogo japo kwa umbo unaweza ukaona ni mdogo.
Approx 10kgmmoja aliyekomaa anafikia uzito gani?
Mbegu kubwammoja aliyekomaa anafikia uzito gani?
Haha...acheni masihara nyinyi...hao watakua sio kuku bacKifaranga ndo 50k mkuu[emoji1] [emoji1] , hawa Kuku sijui kwann huwaga wana bei namna hii
Mostly 4-5.Kgmmoja aliyekomaa anafikia uzito gani?