Nauza TV Samsung Plasma inch 42 bei poa

Nauza TV Samsung Plasma inch 42 bei poa

Mosskiss

Senior Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
158
Reaction score
103
Wakuu nauza tv yangu aina ya samsung plasma inch 42 in a good condition ndiyo nnayoitumia kwangu.. bei ni shilingi laki 680 alfu..kama ukiihitaji nichek 0713 799 522 sababu ya kuuza nmepata matatizo ya ghafla
 
Picha za tv ni hizo hapo wakuu
 

Attachments

  • 1422905841027.jpg
    1422905841027.jpg
    25.6 KB · Views: 799
  • 1422905870041.jpg
    1422905870041.jpg
    32.2 KB · Views: 745
  • 1422905892369.jpg
    1422905892369.jpg
    22.9 KB · Views: 728
bei ya mwisho ni sita na nusu mkuu.. Ni samsung original.. Inch 42 mkuu
 
Bei Nzuri sana TV nchi 42 inazidiwa price na Simu Gallaxy Note 3 ya nchi 5? Tatizo nini?
 
Bei Nzuri sana TV nchi 42 inazidiwa price na Simu Gallaxy Note 3 ya nchi 5? Tatizo nini?

Hata tv samsung inch 24 mpyaa dukan na warant 2yrs ina screen kubwa pia kushinda hyo cm lakin bado haifikii gharama za hyo cm used... Tv haina tatizo nauza nna shida kama unahitaji njoo uone
 
Hata tv samsung inch 24 mpyaa dukan na warant 2yrs ina screen kubwa pia kushinda hyo cm lakin bado haifikii gharama za hyo cm used... Tv haina tatizo nauza nna shida kama unahitaji njoo uone

Nitajuaje kama nzima
 
tv ipo kinondon mkwajuni.. Njoo na fundi uikague.. Nakupa na waranty.. Nasema hvyo cos nnaijua tv yangu na nna uhakika..
 
tv ipo kinondon mkwajuni.. Njoo na fundi uikague.. Nakupa na waranty.. Nasema hvyo cos nnaijua tv yangu na nna uhakika..

Bei ya dukani ni kiasi gani? Na umeinunua lini
 
Wakuu nauza tv yangu aina ya samsung plasma inch 42 in a good condition ndiyo nnayoitumia kwangu.. bei ni shilingi laki 680 alfu..kama ukiihitaji nichek 0713 799 522 sababu ya kuuza nmepata matatizo ya ghafla

Umeinunua ikiwa mpya au used?
Ina muda gani tangu uinunue?
Ni Samsung TV assembled nchi gani?
Ipo full equipped au kuna baadhi ya vitu vimepotea kama remote,cables,stand n.k
 
Tatizo PLASMA.

Nmewahi kutumia lcd, led pia lakin plasma kwangu ndo the best coz inanipa picha quality nnazotaka na pia matoleo yake hayapitwi na wakati kama lcd na led kila mwaka wana toleo jipya.. Na ubora wake pia
 
Nmewahi kutumia lcd, led pia lakin plasma kwangu ndo the best coz inanipa picha quality nnazotaka na pia matoleo yake hayapitwi na wakati kama lcd na led kila mwaka wana toleo jipya.. Na ubora wake pia

0_oh! makampuni yanaachana na hiyo teknolojia ya zamani wewe unasema haipitwi na wakati?.....duh! sasa hivi tunakimbilia kwenye OLED we ndiyo kwaanza unasifia plazma!
plasma=old tech=picha low quality=dude ziiito=linanjaa ya umeme
 
Mtu anauza kitu chake kama si mnunuzi tulia. Hakuna chizi mwene hela
 
watu kama mnawashwa minduku mnajikunia kwa threads za watu

kuwa mchawi sio lazima ubebe tunguli

mbona unatokwa povu sana, mleta mada ni bwanaako?
unisamehe kama imekugusa, nilikuwa nafafanua jambo tu kwa mdau, au haukupenda ifahamike?
mleta mada; tv iko vizuri na bei unayouza ni size yake. muelekeze huyu mkeo kuwa mimi sina nia mbaya.
 
mbona unatokwa povu sana, mleta mada ni bwanaako?
unisamehe kama imekugusa, nilikuwa nafafanua jambo tu kwa mdau, au haukupenda ifahamike?
mleta mada; tv iko vizuri na bei unayouza ni size yake. muelekeze huyu mkeo kuwa mimi sina nia mbaya.

kwa tabia hizo wewe ni shoga tu, kama sio shoga basi unakaribia kuwa shoga ila hujajijua we fokofoko.

mashoga kama nyinyi mnakuja kujikunia kwa threads za watu mnafikiri kila mtu anafirigisi mashoga.

jiangalie angalie kuvamia usivyovijua we pukusu, utakuja kupewa kitu cha punda ukapusuliwa mnduku.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom