mbuzimawe99
JF-Expert Member
- Nov 23, 2021
- 231
- 803
Mimi nauza Inch 43 kwa Tsh 480,000 mpya na zipo kwenye Box,unaitumia kwenye Sola na kwenye Umeme
Mimi nauza Inch 43 kwa Tsh 480,000 mpya na zipo kwenye Box,unaitumia kwenye Sola na kwenye Umeme
Usibishe basi kama kariakoo unaijua yote,kuna machimbo amini nikuambiacho,na inch 50 unapata kwa 900,000Sio Kweli mkuu huwezi kupata Hisense inch 43 Kwa 550000 kariakoo, unless otherwise wewe ndio uwe muuzaji na kama ni hivo basi tujuze ndugu zako ofisi yako ilipo tuje tukuunge biashara
Mkuu pale bandarini ushuru ulilipia bei gani tafadhaliCjakuelewa!!nasema hivi mimi nimeinunua kwa bei hiyo zanzibar tena brand new!!hayo mengine mimi siyajui, japo hii ya kwangu sio smart.
Sawa mkuu nimeacha kubisha, maana kuna Mali za mishe pia, kama vipi at some time nitahitaji msaada wako unilengeshe eneo la tukio maana najua nikilenga shop siwezi kupata daima Kwa hiyo beiUsibishe basi kama kariakoo unaijua yote,kuna machimbo amini nikuambiacho,na inch 50 unapata kwa 900,000
Mimi baada ya kuinunua, nilimpa jamaa yangu, 50, 000, ambaye ni mzoefu, wa huko, niliikuta dar, ki fupi pale bana, kuna wenye kazi hizo, na yeye aliniambia hivyo!!hivyo ki uhalisia cwezi sema bei halisi.Mkuu pale bandarini ushuru ulilipia bei gani tafadhali
Well said!Mimi baada ya kuinunua, nilimpa jamaa yangu, 50, 000, ambaye ni mzoefu, wa huko, niliikuta dar, ki fupi pale bana, kuna wenye kazi hizo, na yeye aliniambia hivyo!!hivyo ki uhalisia cwezi sema bei halisi.
Nikupe siri kabla ya kwenda kufanya manunuzi panga siku unapita duka kwa duka mtaa kwa mtaa,utakuja nishukru baadaeSawa mkuu nimeacha kubisha, maana kuna Mali za mishe pia, kama vipi at some time nitahitaji msaada wako unilengeshe eneo la tukio maana najua nikilenga shop siwezi kupata daima Kwa hiyo bei
Waambie wafumbuke macho,walikua wanapigwa pakubwa sana,yaani inch 32 kwa 550,000?Mimi nauza Inch 43 kwa Tsh 480,000 mpya na zipo kwenye Box,unaitumia kwenye Sola na kwenye Umeme
Mkuu umeijua hiyo kampuni lakini? Issue sio kupigwa pakubwa au padogo ila issue ni kupata kile ambacho mtu ulikidhamiria, sio usikie tu tv inch 43 Kwa 480000 unakimbilia, Kila kampuni Ina bei zake na watu wanaridhika kulingana na thamani na ubora wa kampuni, kaulize bei ya Samsung au LG ya inch 43 alafu urudi hapa useme watu wanapigwaWaambie wambuke macho,walikua wanapigwa pakubwa sana,yaani inch 32 kwa 550,000?
Basi electronics zimeshuka bei sana asee.Mimi nauza Inch 43 kwa Tsh 480,000 mpya na zipo kwenye Box,unaitumia kwenye Sola na kwenye Umeme
Kweli asee kila shetani na mbuyu wake.Mkuu umeijua hiyo kampuni lakini? Issue sio kupigwa pakubwa au padogo ila issue ni kupata kile ambacho mtu ulikidhamiria, sio usikie tu tv inch 43 Kwa 480000 unakimbilia, Kila kampuni Ina bei zake na watu wanaridhika kulingana na thamani na ubora wa kampuni, kaulize bei ya Samsung au LG ya inch 43 alafu urudi hapa useme watu wanapigwa
Kuna kampuni ich 32 tu Kwa 500000 hupati ila kama ndio lengo lako itabidi tu uitoe hiyo hela, na ndio maisha yalivo, it's about satisfaction, wakati we unasema siwezi kutumia simu ya laki 5 wapo ambao wanasema hawawezi kutumia simu ya bei chini ya 1m kwahiyo Kila mtu anajikuna anapoweza
Kuna kampuni ya aborder unapata hadi inch 43 smart tv double screen Kwa 580000 Kwa bei ya mwaka Jana ila unakuta mtu anaacha hiyo anaenda kununua inch 32 ya LG Kwa 550000 utamuongeleaje Huyu mtu? hivi vitu bana vina watu wao ndomana wateja hawawezi kuisha ata iweje maana tupo katika class tofauti
Sina uhakika ila nahisi vitu vyao vingi wanaviagiza kutoka Nchi za kiarabu, na wao huchukuliwa kama vile sehemu ya nchi ya kiarabu, kama unavojua hawa wenzetu wanajua sana kubaguana hivo upande wa Kodi Waga ni mseleleko pindi hizi za aina hii zinapofanya biasharaSasa Zanzibar huwa kuna nini, kwanini vitu bei rahisi kuliko bara akati ni nchi moja Tanzania?
Hisense 32" - Smart ndiyo bei yake iyo, usiseme inch 32 tu, sema na brand yake, kwa Aborder, Mobisol au Boss unapata chini ya iyoWaambie wambuke macho,walikua wanapigwa pakubwa sana,yaani inch 32 kwa 550,000?
acha maneno mengi ..Waambie wambuke macho,walikua wanapigwa pakubwa sana,yaani inch 32 kwa 550,000?
Now you are talkingMkuu umeijua hiyo kampuni lakini? Issue sio kupigwa pakubwa au padogo ila issue ni kupata kile ambacho mtu ulikidhamiria, sio usikie tu tv inch 43 Kwa 480000 unakimbilia, Kila kampuni Ina bei zake na watu wanaridhika kulingana na thamani na ubora wa kampuni, kaulize bei ya Samsung au LG ya inch 43 alafu urudi hapa useme watu wanapigwa
Kuna kampuni ich 32 tu Kwa 500000 hupati ila kama ndio lengo lako itabidi tu uitoe hiyo hela, na ndio maisha yalivo, it's about satisfaction, wakati we unasema siwezi kutumia simu ya laki 5 wapo ambao wanasema hawawezi kutumia simu ya bei chini ya 1m kwahiyo Kila mtu anajikuna anapoweza
Kuna kampuni ya aborder unapata hadi inch 43 smart tv double screen Kwa 580000 Kwa bei ya mwaka Jana ila unakuta mtu anaacha hiyo anaenda kununua inch 32 ya LG Kwa 550000 utamuongeleaje Huyu mtu? hivi vitu bana vina watu wao ndomana wateja hawawezi kuisha ata iweje maana tupo katika class tofauti
Amemtusi vyema tena kitaalamumtu anaongea bila kufanya research .. sema ndo hivyo kaka huwezi mzuia mtu kutoa maoni yake