Hiyo ni bei ya 43"550,000 tsh
Mimi mwaka jana nimenunua zanzibar kwa bei hiyo,kua na uhakika na taarifa mkuu..wapi nitapata hiyo bei
Kwanini Zanzibar ina vitu bei poa sana?Hiyo ni bei ya 43"
Mimi mwaka jana nimenunua zanzibar kwa bei hiyo,
Kitu ukishakinunua dukani ukawa nacho mkononi hapo hapo bei inashuka ghafla si ajabu ukauza nusu bei uliyonunulia. By the way sikukatishi tamaa unaweza pata zoba lako ukalipiga bei ile ileZanzibar sawa .. inaeleweka bei za bidhaa Zanzibar zilivyo ..
ila bei halisi ndo hiyo niloitaja
naelewa mkuu .. Kila kitu ni maelewano ..Kitu ukishakinunua dukani ukawa nacho mkononi hapo hapo bei inashuka ghafla si ajabu ukauza nusu bei uliyonunulia. By the way sikukatishi tamaa unaweza pata zoba lako ukalipiga bei ile ile
Hiyo ni bei ya 43"
Cjakuelewa!!nasema hivi mimi nimeinunua kwa bei hiyo zanzibar tena brand new!!hayo mengine mimi siyajui, japo hii ya kwangu sio smart.
Hisense 43" Smart kwa 550k labda utoe na 'Tigo', acha ujuajiHiyo ni bei ya 43"
anakaa kwa shemeji uyo achana naemtu anaongea bila kufanya research .. sema ndo hivyo kaka huwezi mzuia mtu kutoa maoni yake
hata kwa jumla hupati kwa bei hii acha ujuaji dogoHiyo ni bei ya 43"
Hata kariakoo unapata bei hiyo ya 550,000 inch 43Hiyo ni bei ya 43"
Mimi mwaka jana nimenunua zanzibar kwa bei hiyo,
Sio Kweli mkuu huwezi kupata Hisense inch 43 Kwa 550000 kariakoo, unless otherwise wewe ndio uwe muuzaji na kama ni hivo basi tujuze ndugu zako ofisi yako ilipo tuje tukuunge biasharaHata kariakoo unapata bei hiyo ya 550,000 inch 43
Wabongo bhana, hivi kweli Tv inch 43 upate kwa 550k, labda km ni feki.Sio Kweli mkuu huwezi kupata Hisense inch 43 Kwa 550000 kariakoo, unless otherwise wewe ndio uwe muuzaji na kama ni hivo basi tujuze ndugu zako ofisi yako ilipo tuje tukuunge biashara
Unaweza ukapata me sipingi juu ya Hilo ila issue inakuja pale mtu anaposema unapata Hisense inch 43 kariakoo Kwa 550 mkuu, hapo ndio shida ilipo, Kwa hiyo bei saiz huwezi kupata aisee tofauti na Zanzibar Tena inakuwa sio Smart tv unaweza pata LED, ila Kwa Dar ata usunguke ukiwa uchi hupati Ng'oooWabongo bhana, hivi kweli Tv inch 43 upate kwa 550k, labda km ni feki.
Nasema hivi mimi mwaka jana nimenunua kwa bei hiyo, hayo mambo ya fake ni yako, ila huo ndio ukweli!!tena brand new full hd!!ndio maana nimesema ni kwa zanzibar, kwa anayefahamu ununuaji wa bidhaa upande wa zanzibar wala haoni ajabu kwa hilo!!Wabongo bhana, hivi kweli Tv inch 43 upate kwa 550k, labda km ni feki.