NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 12,322
- 10,914
Amemtusi vyema tena kitaalamumtu anaongea bila kufanya research .. sema ndo hivyo kaka huwezi mzuia mtu kutoa maoni yake
Kumbe ilikuwa deal sasa mbona mnaharibu biashara za watu hapa.sasa mtu umenunua tv alfu hamsini ilikuwa ya nini?tupendaneMimi baada ya kuinunua, nilimpa jamaa yangu, 50, 000, ambaye ni mzoefu, wa huko, niliikuta dar, ki fupi pale bana, kuna wenye kazi hizo, na yeye aliniambia hivyo!!hivyo ki uhalisia cwezi sema bei halisi.