Nauza TV na vifaa mbalimali

Nauza TV na vifaa mbalimali

Mike400

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2015
Posts
237
Reaction score
115
Za mda huu wakuu, Nauza dstv decorder pamoja na vifaa vyake vyote complete,imetumika miezi miwili tu
Bei Tsh 60,000
:0719538995
😀ar,kinondoni
 
Magu......tuangazie wananchi wako
Hali si hali
Dollari inazidi kupandisha morii
Shambani jua linakuwa Kali na hali si shwari, ya kaisari anapewa askari
Wajasiliamali tunabaki na mabakuli

Maisha yanageuka tofani tukumbuke asilani
Wanazuoni kamwe hawawezi kuelewa hapakazi tu na njaa mifukoni,
Elimu ya juu sasa imekuwa anasa maskini ni adimu kuipata.

Mapenzi kwenye familia yanazidi kuyeyuka na wazazi majukumu kuyatelekeza bila sababu kuzingamua
Sasa imekua pambio hatujinyongi, hatunywi sumu CCM mbele kwa mbele tumekubali sasa yetu ni matembele kwa kande
 
Binti Forogo said:
Ina HDMI Mkuu au ni Pm
Ndiyo mkuu binti Forogo ina HDMI na imetumika miezi miwili tu,nitafute tufanye biashara
 
Nauza TV Hisense inch 32 smart TV ..
Bei 420k ...haina miezi miwili kadi ipo ..
nipo Mo town ..
mwenye uhitaji 0715 194 611

IMG_20211209_134752_3.jpg
 
Ikifika laki 3. Nicheki pm nakuja MO town kuchukua
 
Back
Top Bottom