Nauza tv na deki kwa bei nafuu

Nauza tv na deki kwa bei nafuu

Mkuu mbona dunia imehama kwenye keknolojia hiyo tumepita LCD,led,na sasa tupo kwenye smart we umeng'ang'ana tu na TV ya kibiongo kula 50000 mkuu nimuwekee Germany Shepherd wangu nae aliwazike kabla ya kuingia lindoni.
Mkuu haiwezekani nimefunga biashara.
 
Back
Top Bottom