sema huna hela tuu na wewe kujishauaaaa....
20m kwa klugger anakupa bure ndio hivyo hujui...au unasubiri klugger itolewe na airtel kama vi-ist vyetu ndio na wewe ulimiliki?....wabongo tuache kuchoshana...
Tafuta bei ya klugger kwenye masoko ya kijapani kisha weka ushuru na kodi zinginezo...lazma ukilifikisha 25m iwe imekutoka. Hivi kuna gari linalotumia maji ya baharini au yote yanatumia mafuta?...ulitaka klugger ya cc 900 kama vitz?...kisha ibebe watu 7 na bado ipasue njia kwa spidi ya 220?
Kumbuka ile ni suv na bado inaadvantage over salon cars kwa kuwa na 4wd.....
Am tired meennnn.