Nauza Toyota Kluger V ya 2001

Nauza Toyota Kluger V ya 2001

Mkungo

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
222
Reaction score
134
Ninauza Toyota Kluger V ya 2001 rangi Nyeusi yenye registration ya BEH. Bei ya kuanzia Tzs20 million.
Iko Dar es salaam chuo kikuu cha Dar es salaam. Kuiona na kuongea bei +255 183 263
 
Mkuu hiyo namba ya simu uliyoiweka hapo mbona siielewi, ni ya mtandao gani hiyo?

Tiba
 
Wanajamii samahani sana ni +255 756 183 263.
 
nitumie picha mkuu ila nitakupa 17m mana bajeti yangu ni 18m hyo 1m ni ya mafuta na service mpka kulifikisha kwenye huu mkoa ninao ishi mimi,tafadhali fanya hivyo mkuu wangu.
 
Ninauza Toyota Kluger V ya 2001 rangi Nyeusi yenye registration ya BEH. Bei ya kuanzia Tzs20 million.
Iko Dar es salaam chuo kikuu cha Dar es salaam. Kuiona na kuongea bei +255 183 263

weka picha tupo mkoani
 
Weka details za kutosha kama mileage ilizotembea, engine size cc ngapi? In fwd au 2wd...na mengineyo...ukitoka kufanya marketing toka full loaded ili watu wafanye sound decisions sio una-rush kama umekimbizwa na panya road.
 
mil4.3 nitakuuzia mataili

naona ushaanza kulichinja gari lako...haya mie niuzie wepa...kuna 1500tshs.
Hayo matairi ya 4.3m ni aina gani? Size gani? Rim zake sport au hizi za kawaida? Yana-expire lini? Ongeza details watu wajitoe kimasomaso.

Angalizo:- punguza jazba kwenye biashara...wateja wengi huwa ni wasumbufu ila uvumilivu wako na unyenyekevu wako ndio hufanya wateja kununua bidhaa zako.
 
nitumie picha mkuu ila nitakupa 17m mana bajeti yangu ni 18m hyo 1m ni ya mafuta na service mpka kulifikisha kwenye huu mkoa ninao ishi mimi,tafadhali fanya hivyo mkuu wangu.

kwani wewe hiyo budget ya 18m uliyoiweka ilikuwa unanunua kutoka wapi? Na kwanini unapunguza umpe 17m wakati ulishaanda 18m?...omba hati punguzo kistaarabu...hizi sisi huita dharau za rejareja....na nani alikuambia hiyo 18m yako unaweza kupata klugger mpya au hata used toka japan?....
 
kwani wewe hiyo budget ya 18m uliyoiweka ilikuwa unanunua kutoka wapi? Na kwanini unapunguza umpe 17m wakati ulishaanda 18m?...omba hati punguzo kistaarabu...hizi sisi huita dharau za rejareja....na nani alikuambia hiyo 18m yako unaweza kupata klugger mpya au hata used toka japan?....

Gar la kwako?
 
Ninauza Toyota Kluger V ya 2001 rangi Nyeusi yenye registration ya BEH. Bei ya kuanzia Tzs20 million.
Iko Dar es salaam chuo kikuu cha Dar es salaam. Kuiona na kuongea bei +255 183 263


Mil 20 kluger ya 2001 namba BEH?? Mkuu unautani na hela wewe....

Hiyo hela anaagiza GARI Jpn na chenji inabaki....

Angalau ungeuza kwa 9M labda ila kwa 20M utakesha Sana labda umuuzie mshamba kwa bei hiyo.
 
Ninauza Toyota Kluger V ya 2001 rangi Nyeusi yenye registration ya BEH. Bei ya kuanzia Tzs20 million.
Iko Dar es salaam chuo kikuu cha Dar es salaam. Kuiona na kuongea bei +255 183 263

Kwenye red ni number ya freemason nn
 
nitumie picha mkuu ila nitakupa 17m mana bajeti yangu ni 18m hyo 1m ni ya mafuta na service mpka kulifikisha kwenye huu mkoa ninao ishi mimi,tafadhali fanya hivyo mkuu wangu.

Mkuu nimeku PM angalia meseji tufanye biashara.
 
Mil 20 kluger ya 2001 namba BEH?? Mkuu unautani na hela wewe....

Hiyo hela anaagiza GARI Jpn na chenji inabaki....

Angalau ungeuza kwa 9M labda ila kwa 20M utakesha Sana labda umuuzie mshamba kwa bei hiyo.

Mshamba ni wewe usiyejua mambo. Kila mtu anaweza kuagiza Japan na chenji ikabaki...Tatizo unatakiwa kujua kitu ngani kinauzwa. Mchina hata kwa TZS million moja anakupa gari lakini ya aina gani? Kununua ni vitu vya thamani huenda pia kwa kuona na kuamini. Kwenye mtandao na kusubiri meli ifike kabla haijatekwa na maharamia pia kunahitaji moja.
 
Weka details za kutosha kama mileage ilizotembea, engine size cc ngapi? In fwd au 2wd...na mengineyo...ukitoka kufanya marketing toka full loaded ili watu wafanye sound decisions sio una-rush kama umekimbizwa na panya road.

Hahahaha...Panya road!!! Gari ni nyeusi, 4WD na 3,000cc!!
 
Back
Top Bottom