Ila JF 🙌🏿😀Hizi kweli used
Mjomba huwezi kuuza tofali kwa bei ya hasara kiasi hiki! Pandisha walau mpaka 800 hivi ndiyo uuze. Bei ya tofali imeongezeka. Kama hawataki kizinunua, jengea jiko.Kwa sasa tofali inch 5 inauzwa 1100/=, inch 6 inauzwa 1300/=, Mimi nauza kwa kuwa ni Used kwa shilling 500/= Tu.
Huwa zinatumikajeHabari za muda huu, poleni na majukumu kimfaacho mtu chake wanasema waswahili, nauza tofali used, zipo tofali mia mbili, kwa kila tofali moja ntakuuzia kwa shiling mia 5 (500Tsh.), unaweza kujengea au kuzitumia kwa matumizi mengine, Karibu kwa Muhitaji zipo Kinyerezi Makofia Dar es salam simu number 0714739838View attachment 3633722
Wanunuzi wengi ila wapo mbali..unacheka nini mkuu
Safi sana mkuu. Kama zimeenda zote utoe pesa kidogo ununue dawa ya kikooziNimesha ziuza zote. Tangazo lifungwe